GSM anasifiwa etu tajiri hana akaunti tweeter na insta,sasa ata tweet nini na hajasoma?

GSM anasifiwa etu tajiri hana akaunti tweeter na insta,sasa ata tweet nini na hajasoma?

Kinye FC na wasemaji wake wanapenda kumsifia ujinga boss wao.Kutokutumia mitandao ya kijamii ni ujima sio kitu cha sifa.

Mtu mwenyewe hana shule hata cha kuandika huko atakipata wapi?

Utajiri wa michongo sio sifa,nyie chawa mnamuaibisha sana huyo tajiri yenu
Ulitarajia nini kutoka kwa wajinga na wapumbavu kama Dacote, Zembwela na Kitenge. Ndio wanaongoza shughuli ya wajinga.
 
GSM sio tajiri ni mjasiliamali
 
Kinye FC na wasemaji wake wanapenda kumsifia ujinga boss wao.Kutokutumia mitandao ya kijamii ni ujima sio kitu cha sifa.

Mtu mwenyewe hana shule hata cha kuandika huko atakipata wapi?

Utajiri wa michongo sio sifa,nyie chawa mnamuaibisha sana huyo tajiri yenu
Hata Mimi maskini sina hizo akaunti za nini sasa
 
Back
Top Bottom