GSM anasifiwa etu tajiri hana akaunti tweeter na insta,sasa ata tweet nini na hajasoma?

Ulitarajia nini kutoka kwa wajinga na wapumbavu kama Dacote, Zembwela na Kitenge. Ndio wanaongoza shughuli ya wajinga.
 
GSM sio tajiri ni mjasiliamali
 
Hata Mimi maskini sina hizo akaunti za nini sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…