frenk julius
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 377
- 242
Habar jf
Hawa GSM hawafai kudhamini timu yoyote hapa nchini, tumeshuundia miaka 3 walichokifanya ndani ya yanga ni ujaja jaja tu, Hatujawahi kuona yanga ikikaa miaka 3 ikiwa na mdhamini alafu ikakosa ubingwa
Matokeo mabovu ya timu zilizominiwa na GSM msimu huu ni mwendelezo wa jaja yao, mfano ni Namungo, hii timu haijawahi kufungwa gor 3 tena ndani ya Dk 20 tu
Ushauli wangu naomba mnaopata udhamini wa hawa jamaa mjitafakali mala mbili,
Naziona timu zote zilipokea pesa za mchongo kutoka GSM Kuna timu moja inashuka daraja moja kwa moja na zingine zitabaki kungana play off
Uzi huu naomba utuzwe na Kama Kuna mtu anabisha alete mkono
Hawa GSM hawafai kudhamini timu yoyote hapa nchini, tumeshuundia miaka 3 walichokifanya ndani ya yanga ni ujaja jaja tu, Hatujawahi kuona yanga ikikaa miaka 3 ikiwa na mdhamini alafu ikakosa ubingwa
Matokeo mabovu ya timu zilizominiwa na GSM msimu huu ni mwendelezo wa jaja yao, mfano ni Namungo, hii timu haijawahi kufungwa gor 3 tena ndani ya Dk 20 tu
Ushauli wangu naomba mnaopata udhamini wa hawa jamaa mjitafakali mala mbili,
Naziona timu zote zilipokea pesa za mchongo kutoka GSM Kuna timu moja inashuka daraja moja kwa moja na zingine zitabaki kungana play off
Uzi huu naomba utuzwe na Kama Kuna mtu anabisha alete mkono