Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Unauhika bidhaa za danube hazipo UgandaBaba paroko umeshalewa divai asubuhi asubuhi, yani duka lifunguliwe Mlimani City kutarget wateja wa Uganda? Are serious?
Wenyewe ni kina nani?Ndugu yngu gsm mall ya mcity so km kariakoo inawenyewe sidhan ww kususa unaeza kuwa na effect kwny biashara yao
Pambana na maisha yako kijana,achana na vitu visivyo na tija kwako, unajitesa bure kijana. Chuki ni mateso makubwa.Tatizo bado liko palepale IQ za Watanzania ndio tatizo kubwa, kwahiyo huyu Zari ana benefit kwa Diamond out of uhawara wao?
Angalau umenifumbuwa macho nimeanza kuelewa maana mimi Insta nimejiunga kwa ajili ya yule dada yetu kipenzi ili nisipitwe na series zake na mitusi yake. Otherwise sina la zaidi kwenye Insta.
Mimi nilishapambana siku nyingi kabla wewe haujaupata huu msamiati, sasa hivi naishi sina cha kupambania.Pambana na maisha yako kijana,achana na vitu visibyo na tija kwako, unajitesa bute kijana. Chuki ni mateso makubwa.
Note this, gsm ni brand ina watu wanaamin ktk wao so lazima ujue kwmb swala la Zari ni economic basis coz unavyozungumzia Zari pale gsm mall yupo pia Mond na Tiffa wote ni maambassador w gsm kuliko wangemueka amber luluWenyewe ni kina nani?
Inferiority complex.
Hongera kwa kujiunga, tuko humu pamoja.Hadi Wanaume tumejiunga na dada zetu
Asante mkuu kwa nini dada zetu wasipewe hilo shavu? Domo amchune na deals anatuibiaHongera kwa kujiunga, tuko humu pamoja.
Mmeandika wangapi post hii? Manake umeandika "hatupendi dharau siye"Na watanunuwa wenyewe bidhaa zao hatupendi dharau siye.
Hawa shenzi GSM ndio wakwepa kodi wakubwa kupitia ile kampuni yao ya Home shopping center, sasa wamejifanya kuifunga ile wameibukia huku, tutawamulika hukohuko.
Uzalendo kwanza.
Divinity.Mmeandika wangapi post hii? Manake umeandika "hatupendi dharau siye"
Jisemee mwenyewe,hii kauli yako usiiseme mbele ya watanzania utaumbuka,hawashikiwi dhamana hawa watu kama serikali yao ya ccm...Na watanunuwa wenyewe bidhaa zao hatupendi dharau siye.
Hawa shenzi GSM ndio wakwepa kodi wakubwa kupitia ile kampuni yao ya Home shopping center, sasa wamejifanya kuifunga ile wameibukia huku, tutawamulika hukohuko.
Uzalendo kwanza.
Naibu waziri wa madini anamsaidia kairuki kutekeleza majukumu pale katiZari ndio Nani???
Mkuu naskia ni msanii wa bongo fleva ndio kaimba papaHuyu Gigy money huwa ni msanii wa nini?
.....unamlipa wewe !? Anae chagua nyimbo ndo anaye mlipa mpiga zumari, wahenga walinena !Kwanza kabisa napenda niwatakie Sabbatical njema, pili leo ni Nyerere day, nitamuenzi baba wa Taifa kwa njia hii.
Kwanza naomba nikiri huyu Zari mimi namsikia jina tu sijawahi kujuwa hasa kwa hakika shughuri zake ni nini zaidi ya kujuwa ni hawara wa msanii Diamond that's it.
Huwa sina muda wa kudiscuss drama za watu wa aina hii lakini kwakuwa hili la zari lipo in economics grounds naomba nitowe maoni yangu.
Kwa maoni yangu ni dharau kwa Watanzania GSM kumleta Zari kuzinduwa hilo duka lao la Danube nadhani kwa maoni yangu mtu sahihi walipaswa wamuite Diamonds kufanya uzinduzi huo
Kwakuwa Watanzania sasa hivi ni mashabiki ushuzi wa Team ushuzi hawawezi kunielewa wala kukubali kitendo hiki ni dharau kubwa imefanywa na GSM dhidi ya models wetu, kumleta mganda halafu utegemee wateja Watanzania huu ni ufala uliopitiliza.
Binafsi yangu natangaza rasmi boycott bidhaa za duka hilo la Danube kwa kitendo hiki cha kutowapa support models wetu kufanya jukumu hilo.
Tunao kina Mbwana Samatta, Flavian Matata, yupo Joti yupo Masanja, yupo mzee Majuto why Zari? Zari ni Celeb wa nini jameni naomba kujuzwa.
Team ushuzi unaruhusiwa kujaza omo mdomoni ukaja na mapovu hapa.