G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Upepo wao umekataSimba ni lidude flani hivi kubwa atari.
Atari ndiyo nini?Simba ni lidude flani hivi kubwa atari.
Mikataba ya michongoo hyooUpepo wao umekata
Tafta kamusi mkuu sina msaada kwa hilo.Atari ndiyo nini?
Jifunze kiswahili ni hatari siyo atariTafta kamusi mkuu sina msaada kwa hilo.
Ungesahihisha kwanza mistake za maisha yako nazani ungekuwa unamiliki ata baiskeli sahivi.Jifunze kiswahili ni hatari siyo atari
Ata ni nini? Ni hata. Jifunze kutumia hUngesahihisha kwanza mistake za maisha yako nazani ungekuwa unamiliki ata baiskeli sahivi.
Kiswahili sahihi ni hiki: ungesahihisha kwanza makosa yako nadhani ungekuwa unamiliki hata baiskeli Sasa hivi. Inaonekana wewe ni mmiliki wa Banda la kuuza nguo za mitumba na ndio linalokupa kiburi cha kuharibu lughaUngesahihisha kwanza mistake za maisha yako nazani ungekuwa unamiliki ata baiskeli sahivi.
Mkuu naona leo umeamua kuwa mwalimu wa kiswahili humu jamvini .Jifunze kiswahili ni hatari siyo atari
Ni kawaida yanguMkuu naona leo umeamua kuwa mwalimu wa kiswahili humu jamvini .
[emoji23]Ni kawaida yangu
Ni kawaida yangu
Nasikia wanaume wahuko ndo walivyo! Yaani wanapend kujilegeza kike kike tu! Nachukizwa sana na mambo hayaNi kawaida yangu
Kwenye mechi yoyote ya ligi kuu, kwa uchache kunatakiwa kuwa na mabango kadhaa kuwekwa uwanjani.Naona hapa uwanja wa Ally Hassan Mwinyi Tabora kwenye hii mechi ya Kmc na Simba, hamna bango hata moja Au ndo mmeona msihangaike kwenye mechi za Simba kuyaweka? Kwa jinsi Mashabiki wa Simba walivyo jaa, wangeweza hata kuyachana, Bora mmejiongeza!
Asipokuelewa hapa hatoelewa mpaka Yesu anarudiKwenye mechi yoyote ya ligi kuu, kwa uchache kunatakiwa kuwa na mabango kadhaa kuwekwa uwanjani.
1. Bango la shirikisho...
Hata awe mwanamke, tutamsema akiharibu lugha hata iwe ni kiingilish muulize Hannah alivyosikitika mtu wake tulivyomsemaNasikia wanaume wahuko ndo walivyo! Yaani wanapend kujilegeza kike kike tu! Nachukizwa sana na mambo haya