GSM waahidi milioni 116 yanga ikiifunga Simba

GSM waahidi milioni 116 yanga ikiifunga Simba

Cosovo

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2018
Posts
667
Reaction score
1,810
Mdhamini wa klabu ya Yanga amewahidi wachezaji wa Yanga milioni 116 iwapo watawafunga Simba mechi ijayo

NB:GSM ni mdhamini mwenza wa NBC premiere league

Yetu macho
FB_IMG_1638905743072.jpg
 
Picha ya samaki hiyo, si angetafuta namna ya kuwanyorisha hizo hela kuliko kuwasumbua wachezaji kwenye mechi ambayo wote tunajua matokeo yake yapoje
Hatutaki visingizio baba akimuahidi mwanae kumnunulia zawadi kama akifaulu mtihani.

Wewe kama jirani na una mtoto pia unaumia nini?
 
Back
Top Bottom