Oyaaa We Jamaa watuvunja mbavu aisee! ๐๐๐Mo yeye ilimshinda African Lyon na singida au historia imekupitia pembeni!
JF inabidi watuwkee na umri wa washiriki huenda tukawa tunazungumza na watoto wetu. ๐๐Ha ha ha ha Mbumbumbu atajulia wap
๐๐๐๐๐Hao GSM walioishusha Majimaji walikuwa wanacheza Position gani uwanjani ?
Basi jamani.Hata Mo alikimbia African Lyon
Tulia inyeshe mvua tuone panapovuja watoto wa littleBasi na Yanga wanashuka daraja msimu huu
Kwani wewe unasemaje ndugu mwandishi?
anzishia uzi wake tutakujibu,mbona huiongelei suala la kukwepa kodi na kubadili jinaHiyo African lyon na Singida United mpaka leo hazijapanda daraja kwasababu ya Mo dewji
Au wewe una maoni tofauti ndugu mwandishi?
Imeuma eeewh๐ฎ๐ฎ๐ฎ