GSM waliishusha Majimaji FC daraja 2017

Mo yeye ilimshinda African Lyon na singida au historia imekupitia pembeni!
Oyaaa We Jamaa watuvunja mbavu aisee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kwamba alikimbia huko baada ya wakulungwa kukataa kuwekewa matangazo ya sabuni za gesti kwenye jezi zao.
 
Hao GSM walioishusha Majimaji walikuwa wanacheza Position gani uwanjani ?
 
Hiyo African lyon na Singida United mpaka leo hazijapanda daraja kwasababu ya Mo dewji

Au wewe una maoni tofauti ndugu mwandishi?
 
Business faida tu
 
Hiyo African lyon na Singida United mpaka leo hazijapanda daraja kwasababu ya Mo dewji

Au wewe una maoni tofauti ndugu mwandishi?
anzishia uzi wake tutakujibu,mbona huiongelei suala la kukwepa kodi na kubadili jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ