GSM wanapigana kuinusuru Yanga lakini level za Manji bado hawajafika. Pole yao

Hongera sana mkuu huenda ukawa mchambuzi chipukizi. Kinachowaumiza ni hicho tu,simba ikishinda wanalala wakiwaza na kuumia mioyo yao
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo Simba hawanunui na kupulizia vyumba dawa

kilicho akilini kitumie
 
Lini umeona Mo anafanya uhuni wa Manji?
Mtu anajenga uwanja,anatoa pesa kuleta wataalam waliobobea kuanzia menegement hadi benchi la ufundi,timu ikafanya vema Afrika,na inazidi kufanya vzr kuanzia mtandaoni,hadi ndani ya uwanja..utalinganisha na manji aliyejua kushinda hata kwa goli la mkono?
Manji meondoka sasa amekuja Mo kuua soka la Tanzania.Sasa tufanyeje maana soka letu likisimama nchale,likikaa nchale

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ni ukweli ulio wazi kabisa kwamba Yanga walibebwa kupindukia enzi za malinzi.Malinzi ni mmoja wapo wa watu wa hovyo kabisa kuwahi kuongoza TFF.

Sasa hivi yanga wana haha licha ya kuendelea kubebwa wakifikiri walichokuwa wakipanga gizani wakati ule huenda sasa na Simba wanafanya vile.

Lakini ukiangalia mpira tu utaona ukweli maana mpira ni mchezo wa wazi,hakuna cha longo longo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachezaji wa yanga wanashindia matikiti maji,watu wanasafiri na miwa hawana hela ya kula,hivi unategemea nini kama siyo kusingizia wamewekewa dawa vyumbani?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba niwakumbushe chini ya manji yanga imefika hatua ya makundi shirikisho mara mbili mfululizo

Halafu mnaosema yanga saizi inacheza game nzuri kuliko chini ya manji hivi mliangalia game ya al ahly vs yanga kule misri

Yanga ya saizi haijafikia hata nusu ya uwezo wa yanga ya manji
Kama kununua match ina maana hata simba waliwauzia match yanga? Mana na wao walikuwa wanafungwa tu na yanga ya Manji
 
Mkuu umemaliza kabisa mpira uko wazi kila mtu anaona
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…