Watanzania wanaomboleza, wewe Mkongoman hutulii hata siku moja bila kuiwaza Kenya, wengine wapo kwenye siku nne za maombolezo wewe unahangaika na kuteseka ukitafuta habari za Wakenya.
Kweli kabisa hizo ni sare za GSU kitengo cha Kenya Police huyo banyamulenge ameona hizo combat, akajua ni KDF. Ndio shida ya copy and paste kutoka kwa wakenya kule twitter bila ya kuelewa kiingereza wala kinachoongelewa. Hivi niulize, GSU pia imekuwa disbanded kama A.P?