Gtv ndio tumeliwa

Konaball

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
2,949
Reaction score
1,940
Yapata miezi miwili tangu kampuni ya GTV kufunga matangazo yao ya television, wateja wao wa hapa Tanzania mpaka sasa hawajui hatima yao je TCRA na mamlaka zingine za serikali naona zimekaa kimya kuhusu hatima ya wateja au ndio kusema wameliwa pesa zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…