Rais wa marekani
Maamuzi aliyoanza nayo ni kuifunga quantamo ndani ya siku 8.
Kitu ambacho ningependa kujuwa je wafungwa wa quantanamo watapelekwa wapi? je watapewa fidia ya kuwapotezea mwelekeo wao wa kimaisha?
Na je Obama yawezekana ikawa chanzo cha uhuru wa kweli ktk nchi nyingi duniani? ama ndio anguko la marekani?
Maamuzi aliyoanza nayo ni kuifunga quantamo ndani ya siku 8.
Kitu ambacho ningependa kujuwa je wafungwa wa quantanamo watapelekwa wapi? je watapewa fidia ya kuwapotezea mwelekeo wao wa kimaisha?
Na je Obama yawezekana ikawa chanzo cha uhuru wa kweli ktk nchi nyingi duniani? ama ndio anguko la marekani?