Guardian la Ijumaa 4-May-2012 kuna tetesi wametangaza kazi za Bandari Tanzania......

mzee wa njaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2011
Posts
1,363
Reaction score
223
Guardian la Ijumaa 4-May-2012 kuna tetesi wametangaza kazi za Bandari Tanzania......

Mwenye gazeti atujulishe je hizo kazi zipo kwenye gazeti hilo au aliyeniambia hakuwa na uhakika?

Tusaidiane hii taarifa.
 
Wametangaza nafasi za:
1 Senior network admnistrator.
2 Senior system admninstrator.
3 Senier database adminstrator.

Kwa habari zaid tembelea Tayoa employment portal.
Nimeshindwa namna ya kukopi na kuleta humu si unajua tena hi tech.
 
Wametangaza nafasi za:
1 Senior network admnistrator.
2 Senior system admninstrator.
3 Senier database adminstrator.

Kwa habari zaid tembelea Tayoa employment portal.
Nimeshindwa namna ya kukopi na kuleta humu si unajua tena hi tech.

aksante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…