Guardiola matege yameongezeka Leo

SUMMARY YA WOLVES Vs CITY DK 30 ZA MWANZO

1. Ederson atolewa kwa kadi nyekundu

2. Aguero akapigwa sub ambayo kwa wengi ilionesha ni kichekesho kumpisha Bravo

3. VAR ikawazawadia city penati

4. Stering akapiga lakini kipa akaokoa

5. VAR ikasema hataaa sikubaliani na hiyo okoa ya kipa kwa vile kulikuwa na mwingiliano (encroachment kwa kimombo)

6. VAR ikawazawadia tena man city penati nyingine

7. Stering tena akaipiga na kipa akaokoa kwa kuitema

8. Mtemo ukafikia miguuni mwa Stering na kufunga goli

Bado najifikiria ule mpira usingemrudia stering VAR ingesemaje?
 
Arteta effect???? Walipopigwa Etihad huyo Arteta hakuwepo alifanya nini......By the way Arteta ni Average manager hakuna kitu ambacho Pep atamis kutoka kwake.

Wewe umejuaje?

.........Wachambuzi wa Kiafrika mna ujuaji mwingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…