jiwe gizani
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 380
- 507
Weusi kwa maana ya kutokea Afrika au kutokana na rangi zao?.Huyu jamaa sijawahi kumkubali kutokana na Sera yake ya kutowaamini wachezaji weusi. Ni muuaji was vipaji kwa wachezaji weusi. Huwa hawapi nafsi akiwakuta katika timu
weusi wanaotokea africaWeusi kwa maana ya kutokea Afrika au kutokana na rangi zao?.
Hivi vitu vipo mkuu siku ntakuja na laana waliyoachiwa Benfica ya Ureno na kocha waoLaana iwepo kwenye Champion leaque tu?hakuna cha laana wala nn
Yule kocha wa kiyahudi aliwaambia maneno mabaya sana mpaka leo ni kweli.Hivi vitu vipo mkuu siku ntakuja na laana waliyoachiwa Benfica ya Ureno na kocha wao
Hakua myahudi alikua mhungury yule jamaa aliwaachia laana Benfica ya kutochukua kombe lolote la Ulaya kwa miaka 100 ijayoYule kocha wa kiyahudi aliwaambia maneno mabaya sana mpaka leo ni kweli.
Ngoja waje watuambie iliishajeLaana ya mafisango kwa simba iliishaje vile
Ni myahudi aliyezaliwa na kukulia Hungary.Hakua myahudi alikua mhungury yule jamaa aliwaachia laana Benfica ya kutochukua kombe lolote la Ulaya kwa miaka 100 ijayo
Point nzuri.Hakuna cha laana wala nini. Pep ni kocha wa kawaida sana ile mwenye unlimited financial resources.