Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 540
jamani katoto ka miaka 17 nako mnakaita wifi na kukapa respect ya uwifi? Acheni hizo bana,just treat her like a kid,command her na umpe maelekezo na akutii.
Hahahaha, Kongosho vipi?Omba talaka!
Nina wifi angu ambaye ndo wa mwisho kwao mume wangu. Amekuja baada ya kuhitim form four. 1st time nilimuona ni binti mpole sana but baada ya wiki mambo yakabadilika. Ananuna hovyo hata cjui sababu nin? Unaweza ukamuuliza kitu akajibu tu kwa ishara bila kutamka lolote. Kuna majirani nili mtahadharisha asiowazoee kwa sababu ya tabia zao za umbea na uongo walio nao. Cha kushangaza ndo kawa rafiki zake. Nifanyeje?