Gubu linavowatafuna wapinzani wa Liverpool


Aliisema kwenye interview yake ya kwanza kabla hata hajaanza mazoezi.

Rudi YouTube utazame.
 
Aliisema kwenye interview yake ya kwanza kabla hata hajaanza mazoezi.

Rudi YouTube utazame.
Nimeangalia kweli alisema mwanzoni nilikosea, lakini pia nimenotice hakusema premier league au ikiwa title inaulazima wa kua PL?
 
Nimeangalia kweli alisema mwanzoni nilikosea...lakini pia nimenotice hakusema premier league au ikiwa title inaulazima wa kua PL?

I doubt hujaisikia interview vizuri, swali liliulizwa specific for premier league.

Kama umesikia kuna mahali ilitajwa long wait ya PL ndo akajibu vile.
 
Mengine yote yanaweza kuwa kweli, lakini pakikosewa popote the whole story inakuwa fake. Wachezaji aliowakuta Klopp na bado wapo ni zaidi ya wanne uliowataja.

1. Firmino 2. Lalana 3. Henderson 4. Origi 5. Milner 6. Joe Gomez 7. Lovren 8. Bila kuweka walioko kwa mkopo
Katika hao 7 wote wanaweza kuanza kikosi cha kwanza kwenye mechi yoyote.
 
Mugosha! Origi, Lallana, Lovren hao ni sub tena wanahusishwa kuondoka!!!
Origi hapana,wanaohusishwa na kuondoka ni lallana, Loren ambao mikataba yao ipo ukingoni na klopp anataka apate watu sahihi maana Jan next year salah na Mane watarudi kwenye afcon so watakosa game 5 mpaka 6 za epl kwa Jan-feb so anataka apate pesa kidogo then alete watu sahihi na target kubwa ni timor Werner.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hajasajili wachezaji wa bei?
Pengine hajasajili kuliko Man U na Man City ila Mpunga nao wametoa mrefu sana wamevunja Record za dunia mara 2.
1. Van Djik kama Beki ghali zaidi duniani
2. Allison kama GK ghali zaidi Duniani.

Ya Van Djik imevunjwa na Maguire ila bado Ni namba 2.

Ongezeka na Salah, Fabinho, Keita Etc. Kifupi wamespend kama 300M hivi kwa wachezaji kama 6 kwa muda mfupi.
 
MKUU

Baada ya kumuza coutinho KWA paundi million 142 ndio van dyke 75 milion na Allison 65 milion jumla 140 milion!tunauza kwanza ndio tunanunua pia Benteke 32.5,One 15 million na wengineo tuliuza ndio mane na salah KWA paundi 30 plus KILA MMOJA!!
 
MKUU

Baada ya kumuza coutinho KWA paundi million 142 ndio van dyke 75 milion na Allison 65 milion jumla 140 milion!tunauza kwanza ndio tunanunua pia Benteke 32.5,One 15 million na wengineo tuliuza ndio mane na salah KWA paundi 30 plus KILA MMOJA!!
ila mlivunja record za dunia mkuu, na hata sasa hivi mumemsajili Nunez kwa hela ndefu na addons ambazo zinalipika kirahisi kabisa. nakumbuka 2016 wakati tunamsajili pogba Klop alisema hatafundisha ikiwa timu yake inasajili mchezaji kwa 100m kama Pogba.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…