NSHOMA FRANCOUS
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 698
- 325
kichwa majiSijui niliwaza kichwa gani mimii🤦
Mmh... hapana 😌kichwa maji
kufikiria hicho kichwa kingine ndiyo ukichwa maji wenyewe 😉Mmh... hapana 😌
Ni ule wa tutaonana tena?Hakuna alieimba wimbo wa maombolezo unaogusa hisia kama Goodluck Gozbert..wimbo unatia moyo sana,wimbo mzuri sana.Big up
Mmh...sawa🙂kufikiria hicho kichwa kingine ndiyo ukichwa maji wenyewe 😉
Sijui niliwaza kichwa gani mimii[emoji1751]
pia tupo msibani 😀Mmh...sawa🙂
YesNi ule wa tutaonana tena?
Tutaonana tenakiukweli jamaa anajua. ana mashairi mazuri sana ingawa huo wimbo sijausikia ila namuelewa sana.
Tutaonana tenaWeka jina la wimbo
Naona uvumilivu wansh'inda aki vile...msiba umekuwa mrefuuuMama si tulikubaliana tuzike kwanza?[emoji23][emoji23]
Haha..kuna wengine eti wanamwuliza Hayati ,kwanini umetuacha?kama ulikua no uamuzi wake!daahPeter Msechu akamatwe kwa kutunga nyimbo zenye kuzua taharuki na majonzi kwenye kipindi hiki cha msiba.
Hata kuwa msibani nako unatumia kichwa kuwazua🤪🤪pia tupo msibani 😀