Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Msechu kawafunika wote.Haha..kuna wengine eti wanamwuliza Hayati ,kwanini umetuacha?kama ulikua no uamuzi wake!daah
haha hata Khumbu kwenye msiba wa bibi yake alihitaji kichwa cha konda msafi kimpe farajaHata kuwa msibani nako unatumia kichwa kuwazua🤪🤪
Kichwa kichwa tuu,...😋haha hata Khumbu kwenye msiba wa bibi yake alihitaji kichwa cha konda msafi kimpe faraja
Uwaze kichwa gani zaid ya kichwa ndonga, mkuyenge, abdallah kichwa wazi, 2nd head, a big D, ukuni, DICKson, DUDUkilla, UB dabo O, Mzee kipara, mtema sumu tamu, mzee wa kutelezea pangoni, dhakar, mjegeje, pipi ya kijiti, n.k n.kSijui niliwaza kichwa gani mimii[emoji1751]
Akili za genye hizo[emoji23]Naona uvumilivu wansh'inda aki vile...msiba umekuwa mrefuuu
Huu wimbo ulimsindikiza marehemu Babangu December 2020.............Sitousahau
😆😆Hutaki masiharaPeter Msechu akamatwe kwa kutunga nyimbo zenye kuzua taharuki na majonzi kwenye kipindi hiki cha msiba.
Majonzi yamekuwa mengi asee mpaka nawaza mbadala...😂Akili za genye hizo[emoji23]
Khaa😲Uwaze kichwa gani zaid ya kichwa ndonga, mkuyenge, abdallah kichwa wazi, 2nd head, a big D, ukuni, DICKson, DUDUkilla, UB dabo O, Mzee kipara, mtema sumu tamu, mzee wa kutelezea pangoni, dhakar, mjegeje, pipi ya kijiti, n.k n.k
Ule si ulikuwa kwa msiba wa Ruge?
🤣 🤣 🤣 🤣 ukiacha ubonge, Msechu ni mwanamuziki si wa kubabaisha, achilia mbali kwenye nyimbo za maombolezo, hata kwenye bongo flavaPeter Msechu akamatwe kwa kutunga nyimbo zenye kuzua taharuki na majonzi kwenye kipindi hiki cha msiba.
Peter anajua sana kuimba. Angeweza jitihada kwenye mazoezi kama anavyoimba angekuwa mwembamba kama Omondi.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] ukiacha ubonge, Msechu ni mwanamuziki si wa kubabaisha, achilia mbali kwenye nyimbo za maombolezo, hata kwenye bongo flava
Dah huu nao uwiiii... najikuta tu nauimbaThe big one is from Peter msechu- umetuacha imara
🤣🤣🤣🤣 Au KICHWA Cha chini😂😂😂😂Sijui niliwaza kichwa gani mimii🤦
🤣 🤣 🤣 🤣 nadhani mwili wake ni genetic inheritance. Unene wa namna ile si rahisi sana kuupnguza hata ishinde njaa. By the way ni kati ya vocalists ninaowakubali sana kwenye hii faniPeter anajua sana kuimba. Angeweza jitihada kwenye mazoezi kama anavyoimba angekuwa mwembamba kama Omondi.
Lol,.🤣🤣🤣🤣 Au KICHWA Cha chini😂😂😂😂
Yule ni vocalists Tu , Hana consistent nzuri kwenye mashairi , Sawa na ruby ..... technology kubwa ya vocal kwenye kuingiza sauti studio inafanya watu wa namna hii wawe less considered.....🤣 🤣 🤣 🤣 ukiacha ubonge, Msechu ni mwanamuziki si wa kubabaisha, achilia mbali kwenye nyimbo za maombolezo, hata kwenye bongo flava
Kile ndio kipoza roho..Majonzi yamekuwa mengi asee mpaka nawaza mbadala...[emoji23]
Khe, khi, kho, khu.Khaa[emoji44]