" Gudume kapita hapa" Kuna wanaume wa namna hii katika Mahusiano

" Gudume kapita hapa" Kuna wanaume wa namna hii katika Mahusiano

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
nangalieni sana dada zangu kuna wanaume "kantangaze" usiombe aku gegede..atamwambia kila mtu "aaargh huyo mi tayari, wa baridi kama nini" au "yule mtoto nimemla jana tu mtamu sana asikwambie mtu aisee" hivyo unapopita pita mbele zetu tayari tunakujua.

halafu wanaume wana namna hii wapo makini sana wakati wa game utakuta anakuchunguza chunguza una alama gani visible maeneo yako nyeti ili akibishiwa tu aseme " unakataa kuwa sijamla chini ya tako yule dada ana alama ya kuungua na moto" au kwenye paja lake ana baka kubwa limekaa kama ramani ya pemba" hawa wanaume wa hivi wakati anajifanya kukulamba au kukunyonya papuchi yako kumbe anatembeza tembeza macho aone una alama gani ili kuwapa ushahidi washkaji zake kijiweni.

dada zangu muwe makini sana. kuna watu wanatembea na mihuri...hawa jamaa sisi huwa tunawaita wapiga chapa wa serikali au wapiga chata. anakusoma mwili wako ulivyo na hachelewi kusema "yule demu ziwa la kushoto ni kubwa kuliko la kulia" au kwenye shavu lake.....


epukeni hawa watu.
 
Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm! hayo tu.

Jamani kilimo kinaendaje, Mvua vipi huko mikoani?

Tujuzane.
 
Mmmh. Huyo mwanaume atakuwa hayuko sawa kiakili, yaani badala ya kupata raha yeye anaanza kuangalia kasoro alizo nazo mtu.

Na pia kwa upande mwingine huu ujumbe umefika kwa sababu hata humu jf wanaume kantangaze hawakosekani, cha muhimu umakini tu ndio unahitajika kwa sababu kwa macho mawili tu ni ngumu kuwajua aisee.

[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Wanaume Wangapi wamekutangaza wewe?


Swissme
 
Hao watakuwa hawajapitia jando la asili na jando la kizungu (shule) waliogopa umande.

Mwanamme anayetoatoa sana stories hizo hajitambui.
 
Aisee kumbe kuna watu huwa wanajisifia zinaa mitaani? mi nadhani hili jambo la siri au mimi ndio mshamba?
 
nangalieni sana dada zangu kuna wanaume "kantangaze" usiombe aku gegede..atamwambia kila mtu "aaargh huyo mi tayari, wa baridi kama nini" au "yule mtoto nimemla jana tu mtamu sana asikwambie mtu aisee" hivyo unapopita pita mbele zetu tayari tunakujua.

halafu wanaume wana namna hii wapo makini sana wakati wa game utakuta anakuchunguza chunguza una alama gani visible maeneo yako nyeti ili akibishiwa tu aseme " unakataa kuwa sijamla chini ya tako yule dada ana alama ya kuungua na moto" au kwenye paja lake ana baka kubwa limekaa kama ramani ya pemba" hawa wanaume wa hivi wakati anajifanya kukulamba au kukunyonya papuchi yako kumbe anatembeza tembeza macho aone una alama gani ili kuwapa ushahidi washkaji zake kijiweni.

dada zangu muwe makini sana. kuna watu wanatembea na mihuri...hawa jamaa sisi huwa tunawaita wapiga chapa wa serikali au wapiga chata. anakusoma mwili wako ulivyo na hachelewi kusema "yule demu ziwa la kushoto ni kubwa kuliko la kulia" au kwenye shavu lake.....


epukeni hawa watu.
Siku zote najua ww ni Me kumbe ni Ke.
 
broo GuDume umeongea point ya msingi sana ila huu nao ni ugonjwa kama ule wa kupiga chapo na wanaume wa dizaini hii huwa ni viwembe na mabitoz sana
 
Mmmh. Huyo mwanaume atakuwa hayuko sawa kiakili, yaani badala ya kupata raha yeye anaanza kuangalia kasoro alizo nazo mtu.

Na pia kwa upande mwingine huu ujumbe umefika kwa sababu hata humu jf wanaume kantangaze hawakosekani, cha muhimu umakini tu ndio unahitajika kwa sababu kwa macho mawili tu ni ngumu kuwajua aisee.

[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hahaha
 
Back
Top Bottom