Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli wewe ni mgeni naona uneweka picha ukiwa kwenye kipaimara.!
Karibu mgeni.
😂😂😂😂😂😂Kweli wewe ni mgeni naona uneweka picha ukiwa kwenye kipaimara.!
Karibu mgeni.
After one week lazima ataitoa na kuanza kujifichaKweli wewe ni mgeni naona uneweka picha ukiwa kwenye kipaimara.!
Karibu mgeni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli wewe ni mgeni naona uneweka picha ukiwa kwenye kipaimara.!
Karibu mgeni.
Dah 🤣🤣🤣🤣Kweli wewe ni mgeni naona uneweka picha ukiwa kwenye kipaimara.!
Karibu mgeni.
Umejuaje haya nawe ni mgeni?Habari!
Poleni na mihangaiko, mi ni mgeni kwa group naomba mnipokee. Naipenda Jamii forums kwasababu inaelimisha na kuburudisha pia.
Ahsante
Huyu ni mpya kabisa, ndio kapata smartphone. Jinsi alivyojitambulisha kwa heshima hivyo na kutoa sababu kabisa za kuipenda JF kama anaomba kazi.ID yako ya zamani Ni ipi mkuu?
Umeshareport kwa RIKIBOY?Habari!
Poleni na mihangaiko, mi ni mgeni kwa group naomba mnipokee. Naipenda Jamii forums kwasababu inaelimisha na kuburudisha pia.
Ahsante
Tumekupokea karibu, kabla ya yote usajiliwe kwanza kwenye nyuzi mbalimbaliHabari!
Poleni na mihangaiko, mi ni mgeni kwa group naomba mnipokee. Naipenda Jamii forums kwasababu inaelimisha na kuburudisha pia.
Ahsante
Ngoja nimssidie mgeni kujibu hili swali, ukigoogle hoja yoyote daima huwa inaleta mijadala ya jf hata kama hujajiunga na jf.Umejuaje haya nawe ni mgeni?
Ongezea nyama kijana ili tukubandike cheo cha "ukuu" na wewe uanze kuitwa "mkuu". Halafu picha yako ya kipaimara iweke hapa tuione vizuri! Pia ni vyema kutuambia umri wako, umepata division ngapi form sixHabari!
Poleni na mihangaiko, mi ni mgeni kwa group naomba mnipokee. Naipenda Jamii forums kwasababu inaelimisha na kuburudisha pia.
Ahsante
Hata na mimi nilikuja nikiwa na heshima zaidi yake ila leo hii kichwa kimejaa mawazo ya mbususu tu[emoji23][emoji23]Luhali unaonekana unanidhamu sana, ubaki hivyohivyo.
karibu Sana.
utajionea mengi
nimeipenda hiyo avatar