Nimepitia guide book ya admission ya mwaka 2024/25 nimeshindwa kuielewa maana haina equivalent qualification kwenye program mbali mbali zaidi ya kuzungumzwa kiujumla jumla tu na ukienda kwenye program mahususi huoni vigezo vya diploma.Je mmefuta na kuzuia watu wa Diploma kusoma degree?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app