Guide book ya TCU na ya NACTE zinatofautiana?

REUBBY

Member
Joined
Aug 23, 2014
Posts
41
Reaction score
1
Naomba kujuzwa juu ya hili, kuna guide book ya TCU na ya NACTE?

Ukiangalia TCU guidebook ya 2014/2015 St. Francis university (Ifakara-Moro) inatoa Bachelor of MD tu lakini ukiingia kwny website yao wanasema wanatoa Bachelor of MD na ya MEDICAL LAB.

Nimewapigia kwenye no +255232625376 nilijibiwa kwamba Bachelor of MEDCAL LAB inapatkana kuptia NACTE na sio TCU , kama kuna alieaply MEDCAL LAB St. Francis university naomba anijuze code yake.
 
kuna tofauti kubwa! Hata available slots zinasoma tofauti kati ya tcu na nacte!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…