Guilty until proven Innocent : Afungwe miaka 20 halafu akitoka kesi yake ndo Isikilizwe

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Kwa baadhi ya Wanasiasa na viongozi mbalimbali madhira ambayo wameifanyia nchi hii.... Mi kweli nasema mtu wa namna kwanza anahukumiwa kifungo cha kwenda Jela Miaka 20.

Akimaliza akitoka ndo kesi yake sasa inaanza sikilizwa ajitetee ili asiende tena ndani kwa kifungo cha miaka 100 bila msamaha.

Ni uhuni tu wanafanya. Wanaonea wananchi maskini hawa kwa kujinufaisha wao. Wanalipiwa umeme, maji,chakula,usafiri,malazi,maradhi na bado wanakuja kuongea pumba dhidi ya wananchi.

Hawa ni Guilty moja kwa moja mpaka watakapo prove Innocent.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…