kwisha habari ngoja napita kushotoKwa wakati ambao nimefikia naona ni bora ni jaribu pia upande wa pili kutafuta kizizi na mimi maana sio kwa gundu hili
Kila nikipeleka vitu vyangu maskini mimi na gonga mwamba
Wenzangu ambao ni makapuku kama mimi ndo nasikia yule tayari
Mpaka kuna mda nakaa chini na jiuliza hivi chanzo cha ugomvi wangu na mapenzi ni nini kabisa
MwamnyetoMimi nilijua kuwa hupati pesa kumbe hupati demu.
Piga Bakari nondo
Jamaa anadai eti Hana bahati kwenye suala Zima la Mapenzi,anahisi gundu( nuksi) zimemuandama kwani wenzie kila wanapojaribu Mambo yanajipa.Mshauri kitu.Kama kuna aliemuelewa kwisha anifafanulie
Bakari nondo kuna Lulu, wema, mpaka Christina shusho bure kabisaMwamnyeto
Duuuh yaan kwamba unawaita au inakuaje mkuu?Bakari nondo kuna Lulu, wema, mpaka Christina shusho bure kabisa
Tafuta mume uolewe.Kwa nini unasumbua watu?Kwa wakati ambao nimefikia naona ni bora ni jaribu pia upande wa pili kutafuta kizizi na mimi maana sio kwa gundu hili
Mimi wa kukataliwa na shetani kabisa
Yaani hii ni atari pumbavu zako msomaji kuna wakati ninajiuliza kwani mimi niliwakosea nini kabisa mpaka dereva anifokea ndani ya uwanja
Unamkamata tuDuuuh yaan kwamba unawaita au inakuaje mkuu?
Unamkataje Christina Shusho au Lulu mkuu umeniachaUnamkamata tu
AhahahaUnamkataje Christina Shusho au Lulu mkuu umeniacha
hahaha una assume wapo uchi mkuuDuuuh yaan kwamba unawaita au inakuaje mkuu?
Duuuh yaan wamevua nguo alafu?hahaha una assume wapo uchi mkuu
kwisha lazima aishe suluhisho abadili hii username name yake ya Kwisha, case closed 🔐Jamaa anadai eti Hana bahati kwenye suala Zima la Mapenzi,anahisi gundu( nuksi) zimemuandama kwani wenzie kila wanapojaribu Mambo yanajipa.Mshauri kitu.