Gundu halijawahi kumuacha mtu salama

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Kwa wakati ambao nimefikia naona ni bora ni jaribu pia upande wa pili kutafuta kizizi na mimi maana sio kwa gundu hili.

Mimi wa kukataliwa na shetani kabisa
Yaani hii ni hatari, msomaji kuna wakati ninajiuliza kwani mimi niliwakosea nini kabisa mpaka dereva anifokea ndani ya uwanja.
 
kwisha habari ngoja napita kushoto
 
Komaa kwenye ishu zingine achana na mapenzi.Kama upo kijijini nenda shambani ukapande mimea.
 
Tafuta mume uolewe.Kwa nini unasumbua watu?
 
Jamaa anadai eti Hana bahati kwenye suala Zima la Mapenzi,anahisi gundu( nuksi) zimemuandama kwani wenzie kila wanapojaribu Mambo yanajipa.Mshauri kitu.
kwisha lazima aishe suluhisho abadili hii username name yake ya Kwisha, case closed 🔐
Neeeeeext👀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…