Gunia la Mpunga

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,089
Reaction score
424
Samahani kwa usumbufu wajasiriamali wenzangu ila Gunia la Mpunga linatoa kilo ngapi za mchele??
 
gunia la mpunga hutoa kg 66 za mchele ndugu yngu
 
ahsante sana kaka na Mungu akubariki
 
Gunia la debe ngapi? Mimi nafahamu debe moja la mpunga hutoa kilo 8 hadi 9 kutegemea na aina ya mpunga.
 
Gunia la debe ngapi? Mimi nafahamu debe moja la mpunga hutoa kilo 8 hadi 9 kutegemea na aina ya mpunga.

Mzalamo namimi nakuuliza ni debe la lita ngapi? Mimi nafahamu debe moja la mpunga hutoa kilo 14 hadi 15 kutegemea na aina ya mpunga! Kwi kwi kwiii twende mashineni mkuu wangu tukaujue ukweli!
 
Hii sasa ni kali, tuache kutaja tu 'gunia' tuseme gunia lenye kilo kadhaa au lenye debe kadhaa hapo tutaongea lugha moja, mimi niliko mpunga gunia ni debe 7 na mahindi ukisema gunia unamaanisha debe sita!

This is such a good topic. Naulizia wateja wakubwa wa mchele nina ndugu yangu anategemea kuanza kuuza mchele kwa wingi kuanzia July 2013.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…