Unayosema kweli kabisa.mi nilivyosikia anaenda man city nilifurahi sana nikajua,ni wakati wake kuonyesha ubora kama coach mwenye uzoefu.Lakin kama unavyosema EPL sio kama spain ambapo christmass mpaka mwaka mpya 'fiesta,' EPL christmass leo kesho uwanjani,mwaka mpya yale yale,tena unapelekwa sehemu kama Bunley au sunderland na kibaridi ndio kimeshika,saa kumi giza ishaingia,lazima body clock ya Guardiola ipoteza mawasiliano kidogo.
Lakin atafanya vizuri,anaitaji mda.