Guu na kikuku cha Dada Beef Lasagna vinaniacha hoi kabisa

Cash madam! Unaona sasa? Vijana wanawazia kukutana na beautiful onyinye kumbe wakija kumeet ni ebitoke,halafu wanakuja kufungulia uzi huku,too much expectation.

Ila kama nikisema nitaje wanawake warembo humu,ni wewe pekee hakuna kinyago wa kukuzidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Haha, vijana mna mambo sana. Alosema ujana maji ya moto kweli hakukosea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…