Guus Hiddink awa Technical Advisor chelsea .

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Katika kile kinachooneka kama mipango ya kuinusuru timu hiyo na janga la kushuka daraja msimu ujao , Hiddink amekubali kubaki kama mshauri wa ufundi.

Akiongea na Fox Sports amethibitisha hilo na ameahidi kuwarudisha Didier Drogba na Petr Cech kwa ajili ya majukumu ya ufundi mara watakapomaliza mikataba yao kwenye timu zingine.

" I want to involve former Chelsea players , and these guys are true chelsea legends "
 
ndiyo hasara ya fukuza fukuza, ya roman abramovic, huyu jamaa ni kilaza sana.

Lawama zote anafaa kubebeshwa Morinyo ilipaswa apewe muda wa kuijenga timu.

Kwa wale wapenzi wa epl watakumbuka wakati Roman. Anainunua chelsea, aliikuta inafundishwa na Claudio Ranieri huyu kocha wa Lester city Ambao ni mabingwa kwa sasa.

Akamfukuza, luice filipe scolar. Timua, carlo Ancelot, timua, wengine ongezea hapa........
 
Bora wafukuzwe tuu if they can't delivery good results as theirs promised..[emoji12] chelsea is not same to Arsenal and its coach manager mzee wenger aka mr. Bin...! Mbona Arsenal for 12 years wanamvumilia mr.bin but hakuna kitu huku chelsea kashinda epl ligi 4 na uefa juu plus fa.
 
Hahahaaa is this english language or a language similar to english
 
Abramovic hajui mpira , na uchunguzi wa awali unadokeza kwamba hajawahi hata kupiga danadana mbili !
 
Hii lugha itakua ni krioli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…