Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bora wafukuzwe tuu if they can't delivery good results as theirs promised..[emoji12] chelsea is not same to Arsenal and its coach manager mzee wenger aka mr. Bin...! Mbona Arsenal for 12 years wanamvumilia mr.bin but hakuna kitu huku chelsea kashinda epl ligi 4 na uefa juu plus fa.ndiyo hasara ya fukuza fukuza, ya roman abramovic, huyu jamaa ni kilaza sana.
Lawama zote anafaa kubebeshwa Morinyo ilipaswa apewe muda wa kuijenga timu.
Kwa wale wapenzi wa epl watakumbuka wakati Roman. Anainunua chelsea, aliikuta inafundishwa na Claudio Ranieri huyu kocha wa Lester city Ambao ni mabingwa kwa sasa.
Akamfukuza, luice filipe scolar. Timua, carlo Ancelot, timua, wengine ongezea hapa........
Hahahaaa is this english language or a language similar to englishBora wafukuzwe tuu if they can't delivery good results as theirs promised..[emoji12] chelsea is not same to Arsenal with their coach manager mzee wenger aka mr. Bin...! Mbona Arsenal for 12 years wanamvumilia mr.bin but hakuna kitu huku chelsea kashinda idadi ligi ngapi na uefa juu plus fa.
Abramovic hajui mpira , na uchunguzi wa awali unadokeza kwamba hajawahi hata kupiga danadana mbili !ndiyo hasara ya fukuza fukuza, ya roman abramovic, huyu jamaa ni kilaza sana.
Lawama zote anafaa kubebeshwa Morinyo ilipaswa apewe muda wa kuijenga timu.
Kwa wale wapenzi wa epl watakumbuka wakati Roman. Anainunua chelsea, aliikuta inafundishwa na Claudio Ranieri huyu kocha wa Lester city Ambao ni mabingwa kwa sasa.
Akamfukuza, luice filipe scolar. Timua, carlo Ancelot, timua, wengine ongezea hapa........
Hii lugha itakua ni krioliBora wafukuzwe tuu if they can't delivery good results as theirs promised..[emoji12] chelsea is not same to Arsenal and its coach manager mzee wenger aka mr. Bin...! Mbona Arsenal for 12 years wanamvumilia mr.bin but hakuna kitu huku chelsea kashinda epl ligi 4 na uefa juu plus fa.