Guys achana na wanawake rafiki wa kweli ni njaa tu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ndoa ni taasisikama serikali.
Mwanaume kazi yako kulipabills tamka kodi,mwanamke kazi yake kula kodi,
Mwanamke hakupendi bure anatafuta security au kukula hela zako.
Mke sio rafiki bali ni beberu mla kodi zako ,j
Rafiki wa kweli ni njaa tu,ukiwa huna hela ndio anazidisha kuwa karibu na wewe,bora uwekeze kutafuta hela ili njaa nae apate muda wa kufanya mambo mengine badala ya kukung'ang'ania
 
Ni kweli kabisa ila sio rahisi kiasi hii ndugu yangu.
 
Mwanaume alipewa vichwa viwili ili aweze kuwaza ni kwa namna gani atajaza tumbo mbili alizopewa mwanamke. Siyo kazi ndogo.
 
Hakuna aliyewahi kupingana na nature akabaki salama. Jitafakari kijana
 
Hudumia wanawake mkuu wacha kulialia kama vijana wenye migongo laini utakunjwa ewe samaki mbichi.
MUNGU KAMUUMBA MWANAUME ATENGENEZE PESA NA KAMUUMBA MWANAMKE ILI AZILE HIZO PESA.
 
Weka namba hapa.utumiwe bia wamekuwa wachunaji balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…