Ni kweli kabisa ila sio rahisi kiasi hii ndugu yangu.Ndoa ni taasisikama serikali.
Mwanaume kazi yako kulipabills tamka kodi,mwanamke kazi yake kula kodi,
Mwanamke hakupendi bure anatafuta security au kukula hela zako.
Mke sio rafiki bali ni beberu mla kodi zako ,j
Rafiki wa kweli ni njaa tu,ukiwa huna hela ndio anazidisha kuwa karibu na wewe,bora uwekeze kutafuta hela ili njaa nae apate muda wa kufanya mambo mengine badala ya kukung'ang'ania
Itakuwa ni yale yale tu bro, heri ya mwanaume ni kuwa mbali na mwanamke lakini sijui kunani inafanya kuwa ngumu japo negative ni nyingi mno.Sio rahisi basi tafuta wa saizi yako mmoja cheap one komaa nae
Tupate burudani kwanzaš¤£View attachment 3102355
Weka namba hapa.utumiwe bia wamekuwa wachunaji balaaNdoa ni taasisikama serikali.
Mwanaume kazi yako kulipabills tamka kodi,mwanamke kazi yake kula kodi,
Mwanamke hakupendi bure anatafuta security au kukula hela zako.
Mke sio rafiki bali ni beberu mla kodi zako ,j
Rafiki wa kweli ni njaa tu,ukiwa huna hela ndio anazidisha kuwa karibu na wewe,bora uwekeze kutafuta hela ili njaa nae apate muda wa kufanya mambo mengine badala ya kukung'ang'ania