Guys mbona mko hivi??

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,401
Huyu kasuka nywele ?



Huyu chini, mmh good one lakini kavaa heleni






Huyu na Afro lake kapendeza :becky:

Sijui na JF kuna namba one & two?????????????????????????:sorry:
 
wengine hapo ni maboflo. Utashangaa .
 
Huyu kasuka nywele ?



Huyu mmh good one lakini kavaa heleni




Huyu na Afro lake kapendeza :becky:

Sijui na JF kuna namba one & two?????????????????????????:sorry:

Sidhani kama Guys kamili kuanzia kwenye ubongo mpaka unyayoni anaweza kuvaa hereni..!
Hii kitu huwa inanisikitisha sana nionapo jinsia ya kiume inavaa ki kike.
 
Siwezi vaa heleni mke wangu na yeye avae nini sasa?
 
Dada FL1 hao wakaka si mchezo wanavutia haswaa. ila yule wa kwanza yani ndo kaamua kabisa kusuka mtindo kidogo hapo mbele. Angalau wa mwisho afro toka enzi na enzi za mababu ilikuwemo kwenye fasheni ikichanwa na kichana cha moto cha kuweka kwenye jiko la mchina au mkaa. Nywele ikitoka hapo kama za huyo jamaa vile.
 
Sidhani kama Guys kamili kuanzia kwenye ubongo mpaka unyayoni anaweza kuvaa hereni..!
Hii kitu huwa inanisikitisha sana nionapo jinsia ya kiume inavaa ki kike.

Kwa kifupi inaboa ..
 
Dada FL1 hao wakaka si mchezo wanavutia haswaa. .

Wakaka wa kazi huwa hatuna mvuto uso wa mbuzi kazi tu.
Ukishoboka na sura mmmh unaweza ukajipiga kitanzi.
 
Jamani wekeni jukwaa la kikubwa


Kwani hizi picha za nywele na heleni zimevunja maadili ya jukwaaaaaaaaaaa wadau nijibuni ????????????????????????kama yes nitamuomba invisible aipeleke kule.
sitaki kumvunjia mtu heshima
 
Kwani hizi picha za nywele na heleni zimevunja maadili ya jukwaaaaaaaaaaa wadau nijibuni ????????????????????????kama yes nitamuomba invisible aipeleke kule.
sitaki kumvunjia mtu heshima

Hiyo ya chini ndo inavunja sheria ya jukwaa ni ya mwanamke
 
Wakaka wa kazi huwa hatuna mvuto uso wa mbuzi kazi tu.
Ukishoboka na sura mmmh unaweza ukajipiga kitanzi.
Kula gwala mkuu, lakini mbona naona imeongezeka picha nyingine siyofaa kwa hapa jamani.!
Hebu chukueni hatua mapema kuna wengine watoto wanaweza kuharibika kwa hii kitu.
 
Aibu picha kama hiyo ya chini,tafadharim itolewe haraka kabla sijafunga computer yangu.
 
FL1 hebu toa hiyo picha na. 4 haraka.!
 
Wakaka wa kazi huwa hatuna mvuto uso wa mbuzi kazi tu.
Ukishoboka na sura mmmh unaweza ukajipiga kitanzi.

Sawa kaka wa kazi hapo nakuaminia mbuzi ana sura nzuri uso wa kitimoto tu
 
Kwani hizi picha za nywele na heleni zimevunja maadili ya jukwaaaaaaaaaaa wadau nijibuni ????????????????????????kama yes nitamuomba invisible aipeleke kule.
sitaki kumvunjia mtu heshima
FL1 una uhakika maadili yako poa hiyo picha ya mwisho? MHHH...Omba ihamie jukwaa la mambo ya X! Ku-do tena hadharani jamani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…