FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Huyu kasuka nywele ?
Huyu mmh good one lakini kavaa heleni
Huyu na Afro lake kapendeza :becky:
Sijui na JF kuna namba one & two?????????????????????????:sorry:
OOOW FL1 no 1 and 2 are hot
Sidhani kama Guys kamili kuanzia kwenye ubongo mpaka unyayoni anaweza kuvaa hereni..!
Hii kitu huwa inanisikitisha sana nionapo jinsia ya kiume inavaa ki kike.
Dada FL1 hao wakaka si mchezo wanavutia haswaa. .
Jamani wekeni jukwaa la kikubwa
Vingine sio vya KUIGWA. FL1. Na hy ya chini Loooh!
Kwani hizi picha za nywele na heleni zimevunja maadili ya jukwaaaaaaaaaaa wadau nijibuni ????????????????????????kama yes nitamuomba invisible aipeleke kule.
sitaki kumvunjia mtu heshima
Kula gwala mkuu, lakini mbona naona imeongezeka picha nyingine siyofaa kwa hapa jamani.!Wakaka wa kazi huwa hatuna mvuto uso wa mbuzi kazi tu.
Ukishoboka na sura mmmh unaweza ukajipiga kitanzi.
Jamani wekeni jukwaa la kikubwa
Wakaka wa kazi huwa hatuna mvuto uso wa mbuzi kazi tu.
Ukishoboka na sura mmmh unaweza ukajipiga kitanzi.
FL1 una uhakika maadili yako poa hiyo picha ya mwisho? MHHH...Omba ihamie jukwaa la mambo ya X! Ku-do tena hadharani jamani!Kwani hizi picha za nywele na heleni zimevunja maadili ya jukwaaaaaaaaaaa wadau nijibuni ????????????????????????kama yes nitamuomba invisible aipeleke kule.
sitaki kumvunjia mtu heshima