agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
Ijue kweli itakuweka huru.Uhuru upi na kweli ipi unaongelea? Wewe kinakusumbua nini hapo?
Alafu bado kuna misukule yake inamteteaSure kabisa...nimeshangaa kuona asubuhi nakutana na txt inasema sijui neno wasafi inamaana ya kimasony.....ninecheka sanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..yule mzee anafanya buashara tuu...hana injili yoyote ile...mtu kuwa au kutokuwepo masony hautuhusu watu wameenda kanisan kutafuta injili yeye anageuza kuwa sehemu ya ubuyu.
mjomba_tz
Ibada wakat mwingine inageukaga kuwa Mipasho. na Makanisa kugeuka kuwa ukumb wa Burudan. [emoji2] [emoji2] [emoji12] [emoji13] [emoji13]Kama ni yeye kweli kaandika hivyo,Mungu awasaidie waumini wake kuijua kweli itawaweka huru
Ni bora yasiyoonekana na kutamkwa waz waz kulik yeye Gwajima [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji58]Wewe ya mchungaji wako unayajua...
Yanii ovyo kabisaIbada wakat mwingine inageukaga kuwa Mipasho. na Makanisa kugeuka kuwa ukumb wa Burudan. [emoji2] [emoji2] [emoji12] [emoji13] [emoji13]
Ni kweli mjomba tz ulichosema hujakoseaNonsense.....madhabahu sio sehemu ya kujibu tuhuma wala kufanya mambo ya ajabu ajabu...anajichafua tuu.
mjomba_tz
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Huku gwajima utapotea huku ni kwa watoto wakihuni kwao ufreemason sio kashfa bwege wewe
Sio baba mchungaji tena naona ni baba mdaku na mtafuta wafuasi kanisani.Ha haaaaa haaaaa kumekucha!
Lets go baba mchungaji
Sio baba mchungaji tena naona ni baba mdaku na mtafuta wafuasi kanisani.
Yule nae mnafiki tu ,mondy hata kama yuko masony yanamhusu????kashindwa kuchunga kondoo wake kila ibada za Siku hizi ni umbea tu, na yeye atusaidie kapata wapi utajiri alionao na ss tutafte,yaani siku hizi watu hawaendi kusali Bali kusikiliza unafiki
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Kwa hyo gwajima ameolewa ndo kapata huo utajiri[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,unajua kabla hujacomment soma kwanza kilichoandikwa kwa umakini ili ujue nn kinamanishwaYaani wewe unataka utajiri kama wa Gwajima!!naona uko karibu kuolewa sasa!!!
Haya mama udaku nitakuja nami nijiunge hapo sijui jumapili ijayo kutakuwa na kiki ipi tujae.Wewe ndiye Baba Udaku,Kama ni wafuasi yeye anao wa kutosha na wewe unaendelea kuisoma namba kama kawaida mpaka ukome!!
Akili zako unazijua mwenyewe[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Yaani wewe unataka utajiri kama wa Gwajima!!naona uko karibu kuolewa sasa!!!
Kwa hyo gwajima ameolewa ndo kapata huo utajiri[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,unajua kabla hujacomment soma kwanza kilichoandikwa kwa umakini ili ujue nn kinamanishwa
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Acha kukoti mistari, tuambie huo ukweli tuujadiliIjue kweli itakuweka huru.
Ukitoka huko kifungoni utajielewa kwa sasa wacha utapike tuMsukule ni wewe ambayo unafuata mkumbo unashabikia usichokijua!!
Iijue kweli itakuweka huruAcha kukoti mistari, tuambie huo ukweli tuujadili
Ha ha ha.Mods kama ikibainika aliyetoa huu uzi kasema uongo msisahau kumpiga BAN tumechoka na huu utoto.
Tusiojua kutukana huwa hutuna maneno mengi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,usipende kutumia lugha ya hovyo ili upate wa kubishana nae,it's better ukafanya mambo mengineKama na wewe unautaka utajiri kama wa Gwajima waweza kuolewa maana mna uroho wa utajiri kitu kitachopelekea muolewe!!!!