mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Bora gwajima sio mnafiki kuliko makanisa ya kama roman yamekaa kimya yanaona uozo unaendelea nchi yanakaa kimya
DunianiMbona maisha sio magumu kiasi hicho, wewe unaishi wapi?
Dunia kubwa, sijui pande zipiDuniani
Ogopa sana watu wanaokaa kimya wanajifanya wanabusara. Jaribu kutafuta siri ya kanisa katoliki kwenye serikali zote duniani utajua masilahi yaoKuna wanaotumia busara na kuna wanaotumia kiki ili wapate watu wa kuwasikiliza nao wapate misukule ya kutosha kama haka kajamaa.
Jua linapotokeaDunia kubwa, sijui pande zipi
Naaam umenena vyema mtumishiKama ni yeye kweli kaandika hivyo,Mungu awasaidie waumini wake kuijua kweli itawaweka huru
Watu wametekwa nae na hawajajua iloHuyu naye anatumia kanisa vibaya. Visasi tu, Yale mafunzo yanayosema samehe anayafundishaje kanisani kwake? Du hii kali
Unazani wakatoriki wanakulupukaga kama mzee wako wa misukuleBora gwajima sio mnafiki kuliko makanisa ya kama roman yamekaa kimya yanaona uozo unaendelea nchi yanakaa kimya
Kumwambia mkosaji makosa yake sio kulipiza kisasi, Askofu go on.Huyu naye anatumia kanisa vibaya. Visasi tu, Yale mafunzo yanayosema samehe anayafundishaje kanisani kwake? Du hii kali