Uchaguzi 2020 Gwajima awa gumzo kwenye mitaa ya Kawe

Sasa hv mtu mjinga hafai kufananishwa na mbuzi-manake wame prove smartness.Pengine kuwafananisha na kijani kumewatia hasira wakaona waje front
 
Bi husna huyo unaempigia kifua Ndio anasema anatamani misikiti na madrasa ziwe Sunday school zipo clip zake anasema hawezi kuona uislam unaendelea Ndio anasema alikupa vijimisikiti vya makuti akawachimbia visima
Huyu ni adui mkubwa
 
Maumivu na Shida anayoipitia Halima Mdee, Hana wa kumsimlia!!!

Anahitaji Sana faraja zisizo na uhalisia kutoka kwenu wadau

Jimbo lile linakwenda Kwa GWAJIMA kimasihala hivihivi yaani!!
 
Ndio kusema video yake ya ngono imeingia platnum kushinda ya amber rutty?
 
Kazi ya mbunge nini!
 
Anasemaje kuhusu mbuzi kutafuna matangazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…