James_patrick_
Senior Member
- Mar 20, 2017
- 102
- 194
Afike na hapa Mbweni Teta aangalie maji yanavowatesa wazee wetu wastaafu aone atakavotatua maana huyo alikuwepo hata hajawahi ona umuhimu wa kutatua hiyo kero japo ni jirani kabisa na makazi yake. Gwajima for Kawe 2020-2025ZIARA ZA GWAJIMA KWENYE MITAA NA KATA ZIMEONYESHA UDHAIFU MKUBWA WA HALIMA MDEE KATIKA KUWATUMIKIA WANANCHI.
Kawe, Dar es Salaam.
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM ndugu Josephat Gwajima ameendelea na ziara zake kwenye mitaa na Kata za jimbo la Kawe ambapo amekua akishirikiana na wananchi katika kutatua kero zao za Msingi hasa zile za miundombinu ya maji taka.
Ziara hizi zinaacha alama mpya kwa Gwajima ambaye Kwa sasa amekua akitembea mtaa kwa mtaa na kubaini kero za Msingi za wananchi ambazo zimekuwa sugu katika kata kwa muda wa miaka kumi sasa chini ya Halima Mdee.
Ukubwa wa kero hizi unamfanya Halima Mdee kuonekana kama mgombea asiye na nafasi tena mbele ya wananchi Kwani zinaonyesha madhaifu yake kwa umma ambao umemchagua kwa miaka kumi sasa.
_“Wananchi wa Kawe wanahitaji muwakilishi ambaye atasimamia maslahi yao, Maendeleo yao na kuondoa kero zao kwa kushirikiana na serikali na sio Mbunge ambaye anapita kwetu na kutuona sisi ni Muhimu kila Baada ya miaka mitano, tunahitaji muwakilishi wa wananchi wa Kawe atakayetatua kero zetu wana Kawe na sio kwenda bungeni kujadili mambo ambayo sisi hatukumtuma kwenda kuwakilisha”_ Hassan Ramadhan Omary, mkazi Msasani.
Josephat Gwajima ni moja ya wagombea waliojiandaa na wanaotarajiwa kuwa na ajenda kubwa za mabadiliko kwa wananchi kwa miaka ya hivi karibuni, hii ni kutokana na aina yake ya siasa na kusimamia ukweli.
Mpaka sasa tayari Gwajima amefanikiwa kutembelea zaidi ya Kata 6 kati ya 10 za jimbo la Kawe akiendelea kubaini changamoto na mapungufu makubwa ya kiutendaji na kiuongozi yanayotokana na uongozi uliopita chini ya Halima Mdee ambaye aliwekeza muda mwingi kwenye Siasa za kitaifa na kusahau mambo ya msingi yanayohusu jimbo lake la uchaguzi na kero za msingi za wananchi.
Katika ziara yake inayoendelea katika Kata ya Msasani Alia mbaya na na Mgombea Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi ndugu Luca kwa pamoja wamehaidi kuboresha miundombinu ya maji taka ambayo imekua chanzo Kikubwa cha mafuriko Kwa wakazi wa Kata ya msasani.
_”nia yetu ni kuhakikisha tunawarudishia wananchi wa Kawe haki yao ya msingi ya uwakilishi sahihi ndani ya bunge ili kuweza kuwa na maendeleo yanayoendana na ukuaji wa Mji wa Dar es Salaam. Kukosekana kwa uwakilishi sahihi ndio kumekuwa sababu ya wananchi kuendelea kuteseka na kukosa Mbunge ambaye anaweza kusimamia Maendeleo ya jimbo ila kuwa na mbunge ambaye atatua kero za wananchi ikiwemo ujenzi wa miundombinu bora ya maji taka, barabara za mitaa zenye mitaro yenye uwezo na viwango na kusogeza zaidi huduma muhimu za afya Kwa wananchi na kazi hii Chama cha Mapinduzi inaiweza na sasa tumeamua kuhakikisha wananchi wanapata kile walichokuwa wanakikosa”_ Mzee Khalid, Kada wa CCM Kawe.
Josephat Gwajima anaendelea na ziara zake kwenye mitaa huku akiomba kura kwa wananchi kukiunga mkono Chama cha Mapinduzi na kumchagua Rais Magufuli ili kuweza kurejesha hadhi ya Mji wa Kawe.
Husna Mkuza
Freelance Journalist
Kawe
Ushaandaa suti ?ZIARA ZA GWAJIMA KWENYE MITAA NA KATA ZIMEONYESHA UDHAIFU MKUBWA WA HALIMA MDEE KATIKA KUWATUMIKIA WANANCHI.
Kawe, Dar es Salaam.
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM ndugu Josephat Gwajima ameendelea na ziara zake kwenye mitaa na Kata za jimbo la Kawe ambapo amekua akishirikiana na wananchi katika kutatua kero zao za Msingi hasa zile za miundombinu ya maji taka.
Ziara hizi zinaacha alama mpya kwa Gwajima ambaye Kwa sasa amekua akitembea mtaa kwa mtaa na kubaini kero za Msingi za wananchi ambazo zimekuwa sugu katika kata kwa muda wa miaka kumi sasa chini ya Halima Mdee.
Ukubwa wa kero hizi unamfanya Halima Mdee kuonekana kama mgombea asiye na nafasi tena mbele ya wananchi Kwani zinaonyesha madhaifu yake kwa umma ambao umemchagua kwa miaka kumi sasa.
_“Wananchi wa Kawe wanahitaji muwakilishi ambaye atasimamia maslahi yao, Maendeleo yao na kuondoa kero zao kwa kushirikiana na serikali na sio Mbunge ambaye anapita kwetu na kutuona sisi ni Muhimu kila Baada ya miaka mitano, tunahitaji muwakilishi wa wananchi wa Kawe atakayetatua kero zetu wana Kawe na sio kwenda bungeni kujadili mambo ambayo sisi hatukumtuma kwenda kuwakilisha”_ Hassan Ramadhan Omary, mkazi Msasani.
Josephat Gwajima ni moja ya wagombea waliojiandaa na wanaotarajiwa kuwa na ajenda kubwa za mabadiliko kwa wananchi kwa miaka ya hivi karibuni, hii ni kutokana na aina yake ya siasa na kusimamia ukweli.
Mpaka sasa tayari Gwajima amefanikiwa kutembelea zaidi ya Kata 6 kati ya 10 za jimbo la Kawe akiendelea kubaini changamoto na mapungufu makubwa ya kiutendaji na kiuongozi yanayotokana na uongozi uliopita chini ya Halima Mdee ambaye aliwekeza muda mwingi kwenye Siasa za kitaifa na kusahau mambo ya msingi yanayohusu jimbo lake la uchaguzi na kero za msingi za wananchi.
Katika ziara yake inayoendelea katika Kata ya Msasani Alia mbaya na na Mgombea Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi ndugu Luca kwa pamoja wamehaidi kuboresha miundombinu ya maji taka ambayo imekua chanzo Kikubwa cha mafuriko Kwa wakazi wa Kata ya msasani.
_”nia yetu ni kuhakikisha tunawarudishia wananchi wa Kawe haki yao ya msingi ya uwakilishi sahihi ndani ya bunge ili kuweza kuwa na maendeleo yanayoendana na ukuaji wa Mji wa Dar es Salaam. Kukosekana kwa uwakilishi sahihi ndio kumekuwa sababu ya wananchi kuendelea kuteseka na kukosa Mbunge ambaye anaweza kusimamia Maendeleo ya jimbo ila kuwa na mbunge ambaye atatua kero za wananchi ikiwemo ujenzi wa miundombinu bora ya maji taka, barabara za mitaa zenye mitaro yenye uwezo na viwango na kusogeza zaidi huduma muhimu za afya Kwa wananchi na kazi hii Chama cha Mapinduzi inaiweza na sasa tumeamua kuhakikisha wananchi wanapata kile walichokuwa wanakikosa”_ Mzee Khalid, Kada wa CCM Kawe.
Josephat Gwajima anaendelea na ziara zake kwenye mitaa huku akiomba kura kwa wananchi kukiunga mkono Chama cha Mapinduzi na kumchagua Rais Magufuli ili kuweza kurejesha hadhi ya Mji wa Kawe.
Husna Mkuza
Freelance Journalist
Kawe
Misikiti yetu itakuwa makanisaZIARA ZA GWAJIMA KWENYE MITAA NA KATA ZIMEONYESHA UDHAIFU MKUBWA WA HALIMA MDEE KATIKA KUWATUMIKIA WANANCHI.
Kawe, Dar es Salaam.
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM ndugu Josephat Gwajima ameendelea na ziara zake kwenye mitaa na Kata za jimbo la Kawe ambapo amekua akishirikiana na wananchi katika kutatua kero zao za Msingi hasa zile za miundombinu ya maji taka.
Ziara hizi zinaacha alama mpya kwa Gwajima ambaye Kwa sasa amekua akitembea mtaa kwa mtaa na kubaini kero za Msingi za wananchi ambazo zimekuwa sugu katika kata kwa muda wa miaka kumi sasa chini ya Halima Mdee.
Ukubwa wa kero hizi unamfanya Halima Mdee kuonekana kama mgombea asiye na nafasi tena mbele ya wananchi Kwani zinaonyesha madhaifu yake kwa umma ambao umemchagua kwa miaka kumi sasa.
_“Wananchi wa Kawe wanahitaji muwakilishi ambaye atasimamia maslahi yao, Maendeleo yao na kuondoa kero zao kwa kushirikiana na serikali na sio Mbunge ambaye anapita kwetu na kutuona sisi ni Muhimu kila Baada ya miaka mitano, tunahitaji muwakilishi wa wananchi wa Kawe atakayetatua kero zetu wana Kawe na sio kwenda bungeni kujadili mambo ambayo sisi hatukumtuma kwenda kuwakilisha”_ Hassan Ramadhan Omary, mkazi Msasani.
Josephat Gwajima ni moja ya wagombea waliojiandaa na wanaotarajiwa kuwa na ajenda kubwa za mabadiliko kwa wananchi kwa miaka ya hivi karibuni, hii ni kutokana na aina yake ya siasa na kusimamia ukweli.
Mpaka sasa tayari Gwajima amefanikiwa kutembelea zaidi ya Kata 6 kati ya 10 za jimbo la Kawe akiendelea kubaini changamoto na mapungufu makubwa ya kiutendaji na kiuongozi yanayotokana na uongozi uliopita chini ya Halima Mdee ambaye aliwekeza muda mwingi kwenye Siasa za kitaifa na kusahau mambo ya msingi yanayohusu jimbo lake la uchaguzi na kero za msingi za wananchi.
Katika ziara yake inayoendelea katika Kata ya Msasani Alia mbaya na na Mgombea Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi ndugu Luca kwa pamoja wamehaidi kuboresha miundombinu ya maji taka ambayo imekua chanzo Kikubwa cha mafuriko Kwa wakazi wa Kata ya msasani.
_”nia yetu ni kuhakikisha tunawarudishia wananchi wa Kawe haki yao ya msingi ya uwakilishi sahihi ndani ya bunge ili kuweza kuwa na maendeleo yanayoendana na ukuaji wa Mji wa Dar es Salaam. Kukosekana kwa uwakilishi sahihi ndio kumekuwa sababu ya wananchi kuendelea kuteseka na kukosa Mbunge ambaye anaweza kusimamia Maendeleo ya jimbo ila kuwa na mbunge ambaye atatua kero za wananchi ikiwemo ujenzi wa miundombinu bora ya maji taka, barabara za mitaa zenye mitaro yenye uwezo na viwango na kusogeza zaidi huduma muhimu za afya Kwa wananchi na kazi hii Chama cha Mapinduzi inaiweza na sasa tumeamua kuhakikisha wananchi wanapata kile walichokuwa wanakikosa”_ Mzee Khalid, Kada wa CCM Kawe.
Josephat Gwajima anaendelea na ziara zake kwenye mitaa huku akiomba kura kwa wananchi kukiunga mkono Chama cha Mapinduzi na kumchagua Rais Magufuli ili kuweza kurejesha hadhi ya Mji wa Kawe.
Husna Mkuza
Freelance Journalist
Kawe
Eti anatatua kero za kawe, kwa note book huo nao ni utapeli kama wa kufufua mtu wakati mamako alikufa ukamzika.Gwajima ni bwege tu! Hana lolote na hajitambui. Siasa haiwezi.
Mbuzi hali takataka....! Mbuzi siyo nguruwe!!Mbuzi wameona trash
Siku zote alikua wapi, naona una hamu ya kupigwa unooo,!ZIARA ZA GWAJIMA KWENYE MITAA NA KATA ZIMEONYESHA UDHAIFU MKUBWA WA HALIMA MDEE KATIKA KUWATUMIKIA WANANCHI.
Kawe, Dar es Salaam.
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM ndugu Josephat Gwajima ameendelea na ziara zake kwenye mitaa na Kata za jimbo la Kawe ambapo amekua akishirikiana na wananchi katika kutatua kero zao za Msingi hasa zile za miundombinu ya maji taka.
Ziara hizi zinaacha alama mpya kwa Gwajima ambaye Kwa sasa amekua akitembea mtaa kwa mtaa na kubaini kero za Msingi za wananchi ambazo zimekuwa sugu katika kata kwa muda wa miaka kumi sasa chini ya Halima Mdee.
Ukubwa wa kero hizi unamfanya Halima Mdee kuonekana kama mgombea asiye na nafasi tena mbele ya wananchi Kwani zinaonyesha madhaifu yake kwa umma ambao umemchagua kwa miaka kumi sasa.
_“Wananchi wa Kawe wanahitaji muwakilishi ambaye atasimamia maslahi yao, Maendeleo yao na kuondoa kero zao kwa kushirikiana na serikali na sio Mbunge ambaye anapita kwetu na kutuona sisi ni Muhimu kila Baada ya miaka mitano, tunahitaji muwakilishi wa wananchi wa Kawe atakayetatua kero zetu wana Kawe na sio kwenda bungeni kujadili mambo ambayo sisi hatukumtuma kwenda kuwakilisha”_ Hassan Ramadhan Omary, mkazi Msasani.
Josephat Gwajima ni moja ya wagombea waliojiandaa na wanaotarajiwa kuwa na ajenda kubwa za mabadiliko kwa wananchi kwa miaka ya hivi karibuni, hii ni kutokana na aina yake ya siasa na kusimamia ukweli.
Mpaka sasa tayari Gwajima amefanikiwa kutembelea zaidi ya Kata 6 kati ya 10 za jimbo la Kawe akiendelea kubaini changamoto na mapungufu makubwa ya kiutendaji na kiuongozi yanayotokana na uongozi uliopita chini ya Halima Mdee ambaye aliwekeza muda mwingi kwenye Siasa za kitaifa na kusahau mambo ya msingi yanayohusu jimbo lake la uchaguzi na kero za msingi za wananchi.
Katika ziara yake inayoendelea katika Kata ya Msasani Alia mbaya na na Mgombea Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi ndugu Luca kwa pamoja wamehaidi kuboresha miundombinu ya maji taka ambayo imekua chanzo Kikubwa cha mafuriko Kwa wakazi wa Kata ya msasani.
_”nia yetu ni kuhakikisha tunawarudishia wananchi wa Kawe haki yao ya msingi ya uwakilishi sahihi ndani ya bunge ili kuweza kuwa na maendeleo yanayoendana na ukuaji wa Mji wa Dar es Salaam. Kukosekana kwa uwakilishi sahihi ndio kumekuwa sababu ya wananchi kuendelea kuteseka na kukosa Mbunge ambaye anaweza kusimamia Maendeleo ya jimbo ila kuwa na mbunge ambaye atatua kero za wananchi ikiwemo ujenzi wa miundombinu bora ya maji taka, barabara za mitaa zenye mitaro yenye uwezo na viwango na kusogeza zaidi huduma muhimu za afya Kwa wananchi na kazi hii Chama cha Mapinduzi inaiweza na sasa tumeamua kuhakikisha wananchi wanapata kile walichokuwa wanakikosa”_ Mzee Khalid, Kada wa CCM Kawe.
Josephat Gwajima anaendelea na ziara zake kwenye mitaa huku akiomba kura kwa wananchi kukiunga mkono Chama cha Mapinduzi na kumchagua Rais Magufuli ili kuweza kurejesha hadhi ya Mji wa Kawe.
Husna Mkuza
Freelance Journalist
Kawe
Angeanza na ya waumini wake kwanzaNaona ana kasi ya 5G huyo Sasa ndiye Mbunge tunaye mtaka Wana kawe atatue kero zetu
Subili sasa matokeo uone moto wakeGwajima ni bwege tu! Hana lolote na hajitambui. Siasa haiwezi.
Bishop. Gwajima, ndiye mtu sahihi kwa kawe mpya.ZIARA ZA GWAJIMA KWENYE MITAA NA KATA ZIMEONYESHA UDHAIFU MKUBWA WA HALIMA MDEE KATIKA KUWATUMIKIA WANANCHI.
Kawe, Dar es Salaam.
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM ndugu Josephat Gwajima ameendelea na ziara zake kwenye mitaa na Kata za jimbo la Kawe ambapo amekua akishirikiana na wananchi katika kutatua kero zao za Msingi hasa zile za miundombinu ya maji taka.
Ziara hizi zinaacha alama mpya kwa Gwajima ambaye Kwa sasa amekua akitembea mtaa kwa mtaa na kubaini kero za Msingi za wananchi ambazo zimekuwa sugu katika kata kwa muda wa miaka kumi sasa chini ya Halima Mdee.
Ukubwa wa kero hizi unamfanya Halima Mdee kuonekana kama mgombea asiye na nafasi tena mbele ya wananchi Kwani zinaonyesha madhaifu yake kwa umma ambao umemchagua kwa miaka kumi sasa.
_“Wananchi wa Kawe wanahitaji muwakilishi ambaye atasimamia maslahi yao, Maendeleo yao na kuondoa kero zao kwa kushirikiana na serikali na sio Mbunge ambaye anapita kwetu na kutuona sisi ni Muhimu kila Baada ya miaka mitano, tunahitaji muwakilishi wa wananchi wa Kawe atakayetatua kero zetu wana Kawe na sio kwenda bungeni kujadili mambo ambayo sisi hatukumtuma kwenda kuwakilisha”_ Hassan Ramadhan Omary, mkazi Msasani.
Josephat Gwajima ni moja ya wagombea waliojiandaa na wanaotarajiwa kuwa na ajenda kubwa za mabadiliko kwa wananchi kwa miaka ya hivi karibuni, hii ni kutokana na aina yake ya siasa na kusimamia ukweli.
Mpaka sasa tayari Gwajima amefanikiwa kutembelea zaidi ya Kata 6 kati ya 10 za jimbo la Kawe akiendelea kubaini changamoto na mapungufu makubwa ya kiutendaji na kiuongozi yanayotokana na uongozi uliopita chini ya Halima Mdee ambaye aliwekeza muda mwingi kwenye Siasa za kitaifa na kusahau mambo ya msingi yanayohusu jimbo lake la uchaguzi na kero za msingi za wananchi.
Katika ziara yake inayoendelea katika Kata ya Msasani Alia mbaya na na Mgombea Udiwani kupitia Chama cha Mapinduzi ndugu Luca kwa pamoja wamehaidi kuboresha miundombinu ya maji taka ambayo imekua chanzo Kikubwa cha mafuriko Kwa wakazi wa Kata ya msasani.
_”nia yetu ni kuhakikisha tunawarudishia wananchi wa Kawe haki yao ya msingi ya uwakilishi sahihi ndani ya bunge ili kuweza kuwa na maendeleo yanayoendana na ukuaji wa Mji wa Dar es Salaam. Kukosekana kwa uwakilishi sahihi ndio kumekuwa sababu ya wananchi kuendelea kuteseka na kukosa Mbunge ambaye anaweza kusimamia Maendeleo ya jimbo ila kuwa na mbunge ambaye atatua kero za wananchi ikiwemo ujenzi wa miundombinu bora ya maji taka, barabara za mitaa zenye mitaro yenye uwezo na viwango na kusogeza zaidi huduma muhimu za afya Kwa wananchi na kazi hii Chama cha Mapinduzi inaiweza na sasa tumeamua kuhakikisha wananchi wanapata kile walichokuwa wanakikosa”_ Mzee Khalid, Kada wa CCM Kawe.
Josephat Gwajima anaendelea na ziara zake kwenye mitaa huku akiomba kura kwa wananchi kukiunga mkono Chama cha Mapinduzi na kumchagua Rais Magufuli ili kuweza kurejesha hadhi ya Mji wa Kawe.
Husna Mkuza
Freelance Journalist
Kawe
Kwamba mbunge anamamlaka yakubadili nyumba Za ibada kwa matumizi Mengine?Pasipo kusahau kwamba waislamu wa kawe wawe tayari miskiti yao kugeuzwa sunday school maana atapeleka hilo pendekezo bungeni akiungana na Lukuvee... lakini pia wakatoliki wa kawe nao hawatabaki salama kama ambavyo hakubaki salama kiongozi wao...
Siyo sawa na chama kilichoshindwa kujenga hata choo cha chama japo kinapata bilioni 13 kila mwaka.Ameshindwa kusimamia maslahi ya waumi wake mia 5 ataweza maslahi ya watu milioni 1?
Mdee si inasemekana ni mume wa mwanamke kutoka kanda ya ziwa, je, hayo ni maadili mema?Kawe hatutaki kiongozinasie na maadili anadiriki kujirekodi video chafu.
..Gwajima ni tapeli.
..ameishiwa vya kutapeli kanisani, sasa anataka kutapeli kwenye siasa.
Wewe ulisikia wapi?[emoji35]
Unadhani kwanini anautaka ubunge kwa kucha na magego?Kwamba mbunge anamamlaka yakubadili nyumba Za ibada kwa matumizi Mengine?
Watanzania runawaza kipropaganda Sana.
Huwa tunaongea vitu ambavyo unaona kabisa ni story Za kiuchaguzi zisizo na maana.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app