Halima mdee,akiitumia hii video na Ile ya kugeuza misikiti Sunday school ni kampeni tosha za kumuengua huyu jamaa.
Huyu kiukweli mbaguzi Sana wa dini,alikomaaa kipindi like kuhusu ulw msikiti uliojengwa pale airport ya DSM kwa upandw wa pili utadhani kitu gani sijui.wakati masjid ipo nje kabisa ya d.i.a