Jobless graduate
Member
- Apr 1, 2019
- 96
- 135
Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima - Archbishop GWAJIMA anatarajia kufanya press conference na waandishi wa habari kanisani kwake-ubungo asubuhi ya leo ya tarehe 08/05/2019 kuanzia muda wa saa tano kamili asubuhi.
Hii inakuja baada ya kusambaaa picha na video zake za faragha katika mitandao mbali mbali ya kijamii.
Aidha, hii hatua itasaidia kujua mbivu na mbichi kuhusu hizo video zilizosambazwa kumhusu yeye.
Stay tuned!
Hii inakuja baada ya kusambaaa picha na video zake za faragha katika mitandao mbali mbali ya kijamii.
Aidha, hii hatua itasaidia kujua mbivu na mbichi kuhusu hizo video zilizosambazwa kumhusu yeye.
Stay tuned!