Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Wafuasi wa Kibwetere wamegawanyika makundi mawili, wapo wanaotaka kujifanya wanathamini afya zao na kwamba Kibwetere ailiwapotosha au walijua kabisa kwamba Kibwetere anawapotosha lakini kwakuwa walimdharau Mungu wakamthamini Kibwetere Basi kila alichofanya walimpigia makofi. Alipowaambia wafunge macho walifunga na alipowaambia wasujudi walisujudu.
Siku Kibwetere anaondoka Duniani na baada yakuchoma hekalu na kuwapoteza wengi waliomzunguka, ndipo wale walionusurika walipojitokeza nakuanza kumpinga wakiamini hatorudi Tena. Badala wawapongoze wale waliompinga Kibwetere akiwa hai wameendelea kupambana nao na kuwatia ndani waasisi wa vuguvugu lakumpinga.
Gwajima wa Kawe (nachelea kukubali Ni Mchungaji wa kweli) amebaki kumtetea Kibwetere akiamini ipo siku atarejea Duniani. Amebaki kupingana na Ulimwengu na anachofanya Sasa nikutafuta wafuasi ili awatie Moto Kama alivyofanya Kibwetere Senior. Ni kweli amejizolea waumini na atawachoma Moto maana waamini wake wameshindwa kupiga goti nakuhojiana na Mungu wanasubiri Gwajima ndiye aombe kwa niaba yao na Kisha awape maono. Nawakumbusha waumini, Gwajima anachokifanya nikuimarisha misingi iliyowekwa na Kibwetere ili wafuasi wengi waungue kwa Moto kwa maono yake anayoamini na kuwaaminisha watu kwamba ni maono kutoka Mbinguni.
Kwenye hii Vita si Vita yakuelekezwa kwa amri ni Vita yakuomba upewe ufunuo uchanje au usichanje maana hata mwisho wetu hapa Duniani hautotokana na Uvico tu Bali utaendelea kuhusianishwa na ajali, maradhi, sumu nk. Tukumbuke wapo vichaa awajawahi kuchukua taadhari na haukuna ambaye amewahi kututhibitishia kwamba wameathirika kiasi gani, tunawaona wapo kwenye maeneo yao kila siku, means anayewalinda Ni Mungu maana anajua sisi wenye akili timamu atupo tayari kuwawazia.
Siku Kibwetere anaondoka Duniani na baada yakuchoma hekalu na kuwapoteza wengi waliomzunguka, ndipo wale walionusurika walipojitokeza nakuanza kumpinga wakiamini hatorudi Tena. Badala wawapongoze wale waliompinga Kibwetere akiwa hai wameendelea kupambana nao na kuwatia ndani waasisi wa vuguvugu lakumpinga.
Gwajima wa Kawe (nachelea kukubali Ni Mchungaji wa kweli) amebaki kumtetea Kibwetere akiamini ipo siku atarejea Duniani. Amebaki kupingana na Ulimwengu na anachofanya Sasa nikutafuta wafuasi ili awatie Moto Kama alivyofanya Kibwetere Senior. Ni kweli amejizolea waumini na atawachoma Moto maana waamini wake wameshindwa kupiga goti nakuhojiana na Mungu wanasubiri Gwajima ndiye aombe kwa niaba yao na Kisha awape maono. Nawakumbusha waumini, Gwajima anachokifanya nikuimarisha misingi iliyowekwa na Kibwetere ili wafuasi wengi waungue kwa Moto kwa maono yake anayoamini na kuwaaminisha watu kwamba ni maono kutoka Mbinguni.
Kwenye hii Vita si Vita yakuelekezwa kwa amri ni Vita yakuomba upewe ufunuo uchanje au usichanje maana hata mwisho wetu hapa Duniani hautotokana na Uvico tu Bali utaendelea kuhusianishwa na ajali, maradhi, sumu nk. Tukumbuke wapo vichaa awajawahi kuchukua taadhari na haukuna ambaye amewahi kututhibitishia kwamba wameathirika kiasi gani, tunawaona wapo kwenye maeneo yao kila siku, means anayewalinda Ni Mungu maana anajua sisi wenye akili timamu atupo tayari kuwawazia.