Gwajima: This is Ndugai I know!

Gwajima: This is Ndugai I know!

babu M

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
5,222
Reaction score
3,173
Gwajima kwenye press conference yake leo amesema mwanzoni alipomsikiliza Ndugai aliona ni kama hoja vile. Akamtumia Ndugai text “this is Ndugai I know”. Ndugai akamwambia mtani mimi nimechanja lakini naumwa. Gwajima akamwambia “mtani hautakufa mpaka tumalize safari…maana yake tufike 2025”

Je, Gwajima amefanya hii press conference kama njia ya kujisafisha kama hizo texts message ziki leak baadae?
Au ni baada ya kuona reaction aliyoipata Ndugai?

Amejaribu kufafanua kwamba alipomtumia “This is Ndugai I know” inaweza kuwa na maana ya Positive au Negative. Lakini mfano, mtu fulani anapofanya au kusema jambo fulani halafu ukamwambia “This is […] I know”. Ni kumsifia alichofanya na kwa upeo wangu haitumiki kama kutoafiki alichofanya au alichosema.
 
Gwajima mjanja Sana alishapata info kuwa mwenzie anajiuzulu na tayar walishapongezana kabla so hii n Kama kujisafisha kwa mama asionekane yupo pamoja

Ila ukwel n kwamba mama anajua nyendo zao hata afanyaje gwaji 2025 harud mjengoni tena

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
mtani hautakufa mpaka tumalize safari…maana yake tufike 2025”
Babu zimo kweli wewe?

Kwa nini maana ya kumaliza safari imekuleta kwenye maana ya uchaguzi 2025 pekee?

Kwa nini isiwe kumaliza kusudi la Mungu?

Babu vipi? Mkishazeeka si lazima utoe maoni, unaweza baki msomaji tuu nayo ni nzuri tuu!
 
Babu zimo kweli wewe?

Kwa nini maana ya kumaliza safari imekuleta kwenye maana ya uchaguzi 2025 pekee?

Kwa nini isiwe kumaliza kusudi la Mungu?

Babu vipi? Mkishazeeka si lazima utoe maoni, unaweza baki msomaji tuu nayo ni nzuri tuu!
Nimeweka na quotation. Sio maneno yangu hayo ni alichosema Gwajima leo!
 
Gwajima nae angekaa kimya maana naona ameharisha kama kimbunga Jobo
 
Ile dialysis machine nyumbani itaendelea kuhudumiwa na walipa kodi?
 
Gwajima kwenye press conference yake leo amesema mwanzoni alipomsikiliza Ndugai aliona ni kama hoja vile. Akamtumia Ndugai text “this is Ndugai I know”. Ndugai akamwambia mtani mimi nimechanja lakini naumwa. Gwajima akamwambia “mtani hautakufa mpaka tumalize safari…maana yake tufike 2025”

Je, Gwajima amefanya hii press conference kama njia ya kujisafisha kama hizo texts message ziki leak baadae?
Au ni baada ya kuona reaction aliyoipata Ndugai?

Amejaribu kufafanua kwamba alipomtumia “This is Ndugai I know” inaweza kuwa na maana ya Positive au Negative. Lakini mfano, mtu fulani anapofanya au kusema jambo fulani halafu ukamwambia “This is […] I know”. Ni kumsifia alichofanya na kwa upeo wangu haitumiki kama kutoafiki alichofanya au alichosema.
Rashid kapiga pasi ndefu, ana lake jambo humo ccm hataki kujiharibia mapema. Kajamaa kapo ambitious sana nadhan kanautaka uraisi miaka ya mbeleni
 
Back
Top Bottom