Gwambina Football Club yapanda Daraja kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21

Gwambina Football Club yapanda Daraja kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21

Irenga

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
2,639
Reaction score
1,873
Gwambina Football Club yenye Maskani yake Misungwi, Mwanza hapo awali ilifahamika kama JKT Oljoro kabla haijabailishwa jina kuitwa Arusha United hatimae kuuzwa mwaka 2018 Tajiri wa Misungwi Ndg. Alexander Mnyeti hatimae imepanda Daraja kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara musimu wa mwaka 2020/21 baada ya kuifunga Timu ya Pamba FC kwa Goli moja kwa Sifuri , goli la Meshack Abraham dakika ya 90+1'
Timu inafundishwa na Kocha Fulgence Novatus aliyepandisha Daraja Timu ya Namungo FC . Hongera sana na Karibu Ligi Kuu, Gwambina FC " Tuko Pamoja".

IMG_20200628_125436.jpg
IMG_20200628_125039.jpg
IMG_20200628_125032.jpg
IMG_20200628_125037.jpg
.
 
Pongezi nyingi kwao naamini watakuja kuleta ushindani kwenye ligi kuu.
 
Gwambina Football Club yenye Maskani yake Misungwi, Mwanza hapo awali ilifahamika kama JKT Oljoro kabla haijabailishwa jina kuitwa Arusha FC hatimae kuuzwa mwaka 2018 Tajiri wa Misungwi Ndg. Alexander Mnyeti hatimae imepanda Daraja kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara musimu wa mwaka 2020/21 baada ya kuifunga Timu ya Pamba FC kwa Goli moja kwa Sifuri , goli la Meshack Abraham dakika ya 90+1'
Timu inafundishwa na Kocha Fulgence Novatus aliyepandisha Daraja Timu ya Namungo FC . Hongera sana na Karibu Ligi Kuu, Gwambina FC " Tuko Pamoja".

View attachment 1490987View attachment 1490988View attachment 1490989View attachment 1490990.
Huo uwanja wao mbona meter zake ndogo sana

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Mnyeti huyu Rc? Hongera kwao. Tunatarajia mutoe ushindani wa hali ya juu. Mimi ni shabiki yenu damu damu kwasababu ni timu ambayo imejipanga.
 
Nilichojifunza hapo.. football ni pesa na mipango tu. Uwekezaji wao ulkua mkubwa kiasi kwamba tokea mwanzo wa ligi walishatabiriwa kupanda daraja.
 
Gwambina Football Club yenye Maskani yake Misungwi, Mwanza hapo awali ilifahamika kama JKT Oljoro kabla haijabailishwa jina kuitwa Arusha FC hatimae kuuzwa mwaka 2018 Tajiri wa Misungwi Ndg. Alexander Mnyeti hatimae imepanda Daraja kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara musimu wa mwaka 2020/21 baada ya kuifunga Timu ya Pamba FC kwa Goli moja kwa Sifuri , goli la Meshack Abraham dakika ya 90+1'
Timu inafundishwa na Kocha Fulgence Novatus aliyepandisha Daraja Timu ya Namungo FC . Hongera sana na Karibu Ligi Kuu, Gwambina FC " Tuko Pamoja".

View attachment 1490987View attachment 1490988View attachment 1490989View attachment 1490990.
JKT Oljoro bado Ipo, haina uhusiano wowote na Gwambina
 
Asha ushamba wewe ..mpira siyo hulka ya watu wa Arusha.

Kiufupi kaskazini hatuna hulka na mpira wa bongo kivile ndo matajiri wengi hawajawekeza uko
Wewe ndie huna hulka ya mpira. Endelea kunywa viroba na ugoro.
 
Back
Top Bottom