TAKUKURU Iringa wanafanya kazi yao sawasawa; mikoa mingineyo wanachelea kutekeleza majukumu yao au nao walishagawiki kitu kdiogo ili yaishe.kunani Iringa?
Je ni kweli vitendo hivi vimefanyika Iringa tu
TAKUKURU Iringa wanafanya kazi yao sawasawa; mikoa mingineyo wanachelea kutekeleza majukumu yao au nao walishagawiki kitu kdiogo ili yaishe.
Masikini Mwaka-le-bora,Tafuna Fedha Fasta ndipo palipokufaa huko bungeni ni matatizo tuu.