Pirate of Carribean
Senior Member
- Sep 4, 2019
- 116
- 189
Sijaweka bei mkuu nimeweka number tuMillion kumi mbona nyingi kamanda
Bei ndio itashawishi wateja kukupigiaSijaweka bei mkuu nimeweka number tu
Mara ya kwanza aliweka 17m bei ya crownDoh mbona una uza bei ndogo ivyo ml 2 ni nzima ?
Haijawahi mkuu niliamua tuu kuchange colorGari vipi imewahi kula mzinga,? mbona kama imerudiwa rangi mkuu.
very strategic😂😂😂😂Nimependa upigaji wako picha ni wa kiitelejensia sana!