Gx 110 na IST

Johsal

Senior Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
164
Reaction score
145
Wadau naombeni maoni yenu na ushauri pia. Ni msafiri wa almost 600km kila weekend, na trip ndefu za 1000+km ocassionally. (Twice/thrice per year. Saasa kuna mvutano kidogo wa uchaguzi kati ya gx110 na Ist.
Ni gari ipi yaweza kunifaa sana kwa hayo matumizi tajwa hapo juu...?
 
Chukua ist 110, hii gari itakufaa sana kwa ratiba zako hizi
 
Kama ni safari basi chukua gx110, kama ni mafuta chukua IST.
 
Naam kama ni mtu wa safari na barabara ni nzuri(Lami) basi GX110 ndio yenyewe, Powerful, Comfortable and stable ila kua makini maana GX110 unaweza kumaliza dashboard bila kujua!
Kila la heri
 
Naam kama ni mtu wa safari na barabara ni nzuri(Lami) basi GX110 ndio yenyewe, Powerful, Comfortable and stable ila kua makini maana GX110 unaweza kumaliza dashboard bila kujua!
Kila la heri
Huu mchezo nshaacha[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…