GYM: Wana mazoezi wa kunyanyua chuma na utofauti wao

GYM: Wana mazoezi wa kunyanyua chuma na utofauti wao

Hey There

Senior Member
Joined
Nov 12, 2023
Posts
120
Reaction score
372
Hey There
"No Pain No Gain" kama wanavyosema wana mazoezi kuongeza motisha.

Watu wengi wamekuwa hawana uwelewa kuhusu mazoezi ya gym na aina ya wafanya mazoezi hao, wengi kibongobongo tunaita baunsa, mbavu, kidari ila hawa watu wako aina tofauti kutegemeana na goal ya mtu lakini Core ni kujenga body strength.

Kuna aina tatu za wafanya wanyanyua chuma (wana mazoezi ya gym).

1)Bodybuilder
Huyu mwanamazoezi ya kunyayua vyuma (resistance workots) kwa lengo la kujenga misuli mikubwa, kujenga nguvu ya mwili (strength) na muonekano wa misuli (Muscles definition).

Kimuonekano utamjua kwa kuwa na mwili wenye misuli mikubwa inayoonekana vizuri kutokana na kuwa na kihasi kidogo cha mafuta mwili (Body fat), low body fat inamfanya mishipa ya damu pia kuonekana vizuri zaidi.

Bodybuilder anakuwa na nguvu ya mwili kuliko mtu wa kawaida (Raw Power), huyu ni mtu hatari linapokuja suala la kukunjana hamna tofauti na kukamatwa na chatu
7104vZ8wI5S.jpg


2) Cross-Fitter
Huyu ni mwana mazoezi anayefanya mazoezi mchanganyo yenye combination tatu kujenga muscles strength (Resistance/Weights), Kujenga speed ya mwili, punzi na stamina (Cardio).

Huyu hanyayua chuma kidogo sana na apandi uzito anabaki kwenye uzito mmoja mdogo (Light weight) ili kujenga misuli yenye nguvu lakini sio mikubwa sana lengo aside mzito. Tofauti na Bodybuilder yeye huanza na uzito mdogo na hupanda juu siku baada ya siku na kila akipanda na misuli inazidi kukua.

Pia, anafanya mazoezi ya Cardio hili kujenga speed ya mwili, kuwa flexible na stamina.

Cross-Fitter ni mtu anakuwa na nguvu, anauwezo wa kufanya kitendo cha speed na kunyulika kwa haraka, huyu ni mtu hatari.

Wanamichezo tofauti wa football, Boxing, Running nk ni Cross-Fitter, Cristian Ronaldo, Mwakinyo nk nk Cross-Fitter

Kufanya mazozi slow ina train misuli slow (Slow twitch muscles fibers) hii ndio maana Bodybuilder wanakuwa slow ila Cross-fitter anachanganya mazoezi ya slow na fast ambayo yana enhance Fast twitch muscles fibers....Hii ni aina mbili ya Functional Mucles Fibers
Screenshot_20240614-200421_Instagram.jpg


3) Strong Man
Huyu sio common sana kibongobongo pia ni watu wanaolenga michezo zaidi ya kubeba vitu vizito Duniani. Strong man ni wana miili mikubwa kwa kuzaliwa gym wanaongeza mazoezi ya kunyanyua vyuma tu.

Strong man anafanya zaidi mazoezi ya kunyakua uzito mkubwa zaidi tofauti na Bodybuilder ambapo yeye hubeba uzito mdogo na kufanya round nyingi kwa kurudia (Reps).

Kunyanyua uzito mdogo kwa kurudia sana inajenga misuli mikubwa zaidi na yenye kuonekana huku mafuta yakichomwa ila kubeba uzito mkubwa kwa kurudia mara chache inajenga nguvu ya misuli zaidi bila misuli kujijenga viuri kimuonekano....FUCTIONA MUSCLES ACTION.

Strong man ni wanakuwa na nguvu zaidi kuliko Bodybuilder kwasababu wana misuli mikubwa iliyojificha ndani ya layer ya mafuta, ambapo kuwa na mafuta mengi mwilini kunafanya mafuta hayo kutumika kuzalisha energy nyingi kwenye misuli kuzidi Bodybuilder ambao wana misuli zaidi na hawana mafuta ya kutosha as a source of energy to their muscles.
main-qimg-c2bd2a7b3bd4b2a2ec28dd2516d7f020-lq.jpeg
 
Hey There
"No Pain No Gain" kama wanavyosema wana mazoezi kuongeza motisha.

Watu wengi wamekuwa hawana uwelewa kuhusu mazoezi ya gym na aina ya wafanya mazoezi hao, wengi kibongobongo tunaita baunsa, mbavu, kidari ila hawa watu wako aina tofauti kutegemeana na goal ya mtu lakini Core ni kujenga body strength.

Kuna aina tatu za wafanya wanyanyua chuma (wana mazoezi ya gym).

1)Bodybuilder
Huyu mwanamazoezi ya kunyayua vyuma (resistance workots) kwa lengo la kujenga misuli mikubwa, kujenga nguvu ya mwili (strength) na muonekano wa misuli (Muscles definition).

Kimuonekano utamjua kwa kuwa na mwili wenye misuli mikubwa inayoonekana vizuri kutokana na kuwa na kihasi kidogo cha mafuta mwili (Body fat), low body fat inamfanya mishipa ya damu pia kuonekana vizuri zaidi.

Bodybuilder anakuwa na nguvu ya mwili kuliko mtu wa kawaida (Raw Power), huyu ni mtu hatari linapokuja suala la kukunjana hamna tofauti na kukamatwa na chatu
View attachment 3017527

2) Cross-Fitter
Huyu ni mwana mazoezi anayefanya mazoezi mchanganyo yenye combination tatu kujenga muscles strength (Resistance/Weights), Kujenga speed ya mwili, punzi na stamina (Cardio).

Huyu hanyayua chuma kidogo sana na apandi uzito anabaki kwenye uzito mmoja mdogo (Light weight) ili kujenga misuli yenye nguvu lakini sio mikubwa sana lengo aside mzito. Tofauti na Bodybuilder yeye huanza na uzito mdogo na hupanda juu siku baada ya siku na kila akipanda na misuli inazidi kukua.

Pia, anafanya mazoezi ya Cardio hili kujenga speed ya mwili, kuwa flexible na stamina.

Cross-Fitter ni mtu anakuwa na nguvu, anauwezo wa kufanya kitendo cha speed na kunyulika kwa haraka, huyu ni mtu hatari.

Wanamichezo tofauti wa football, Boxing, Running nk ni Cross-Fitter, Cristian Ronaldo, Mwakinyo nk nk Cross-Fitter

Kufanya mazozi slow ina train misuli slow (Slow twitch muscles fibers) hii ndio maana Bodybuilder wanakuwa slow ila Cross-fitter anachanganya mazoezi ya slow na fast ambayo yana enhance Fast twitch muscles fibers....Hii ni aina mbili ya Functional Mucles Fibers
View attachment 3017522

3) Strong Man
Huyu sio common sana kibongobongo pia ni watu wanaolenga michezo zaidi ya kubeba vitu vizito Duniani. Strong man ni wana miili mikubwa kwa kuzaliwa gym wanaongeza mazoezi ya kunyanyua vyuma tu.

Strong man anafanya zaidi mazoezi ya kunyakua uzito mkubwa zaidi tofauti na Bodybuilder ambapo yeye hubeba uzito mdogo na kufanya round nyingi kwa kurudia (Reps).

Kunyanyua uzito mdogo kwa kurudia sana inajenga misuli mikubwa zaidi na yenye kuonekana huku mafuta yakichomwa ila kubeba uzito mkubwa kwa kurudia mara chache inajenga nguvu ya misuli zaidi bila misuli kujijenga viuri kimuonekano....FUCTIONA MUSCLES ACTION.

Strong man ni wanakuwa na nguvu zaidi kuliko Bodybuilder kwasababu wana misuli mikubwa iliyojificha ndani ya layer ya mafuta, ambapo kuwa na mafuta mengi mwilini kunafanya mafuta hayo kutumika kuzalisha energy nyingi kwenye misuli kuzidi Bodybuilder ambao wana misuli zaidi na hawana mafuta ya kutosha as a source of energy to their muscles.
View attachment 3017519
Mimi nipo hapo kwenye cross-fitter napenda kuwa fit lakini sipendi kuwa na misuli mikubwa kama hao body builder, miaka yote mazoezi yangu yalikua ni kucheza mpira wa miguu yaani hii inajumuisha mazoezi yote uwanjani kuanzia kukimbia mdogo mdogo, kunyosha viungo n.k kwa sasa ratiba zinanibana nakosa muda wa kwenda uwanjani kila jioni ila bado nimeweza ku-maintain mwili kwa kuzingatia misosi ninayokula najiepusha sana na vyakula vyenye sukaki au mafuta mengi.Mkuu ni mazoezi gani mbadala naweza kufanya? Lengo ni kuwa na mwili wa wastani uliofit mfano wacheza mpira au wale wacheza karate wakina don yen,ton jaa n.k
 
Hey There
"No Pain No Gain" kama wanavyosema wana mazoezi kuongeza motisha.

Watu wengi wamekuwa hawana uwelewa kuhusu mazoezi ya gym na aina ya wafanya mazoezi hao, wengi kibongobongo tunaita baunsa, mbavu, kidari ila hawa watu wako aina tofauti kutegemeana na goal ya mtu lakini Core ni kujenga body strength.

Kuna aina tatu za wafanya wanyanyua chuma (wana mazoezi ya gym).

1)Bodybuilder
Huyu mwanamazoezi ya kunyayua vyuma (resistance workots) kwa lengo la kujenga misuli mikubwa, kujenga nguvu ya mwili (strength) na muonekano wa misuli (Muscles definition).

Kimuonekano utamjua kwa kuwa na mwili wenye misuli mikubwa inayoonekana vizuri kutokana na kuwa na kihasi kidogo cha mafuta mwili (Body fat), low body fat inamfanya mishipa ya damu pia kuonekana vizuri zaidi.

Bodybuilder anakuwa na nguvu ya mwili kuliko mtu wa kawaida (Raw Power), huyu ni mtu hatari linapokuja suala la kukunjana hamna tofauti na kukamatwa na chatu
View attachment 3017527

2) Cross-Fitter
Huyu ni mwana mazoezi anayefanya mazoezi mchanganyo yenye combination tatu kujenga muscles strength (Resistance/Weights), Kujenga speed ya mwili, punzi na stamina (Cardio).

Huyu hanyayua chuma kidogo sana na apandi uzito anabaki kwenye uzito mmoja mdogo (Light weight) ili kujenga misuli yenye nguvu lakini sio mikubwa sana lengo aside mzito. Tofauti na Bodybuilder yeye huanza na uzito mdogo na hupanda juu siku baada ya siku na kila akipanda na misuli inazidi kukua.

Pia, anafanya mazoezi ya Cardio hili kujenga speed ya mwili, kuwa flexible na stamina.

Cross-Fitter ni mtu anakuwa na nguvu, anauwezo wa kufanya kitendo cha speed na kunyulika kwa haraka, huyu ni mtu hatari.

Wanamichezo tofauti wa football, Boxing, Running nk ni Cross-Fitter, Cristian Ronaldo, Mwakinyo nk nk Cross-Fitter

Kufanya mazozi slow ina train misuli slow (Slow twitch muscles fibers) hii ndio maana Bodybuilder wanakuwa slow ila Cross-fitter anachanganya mazoezi ya slow na fast ambayo yana enhance Fast twitch muscles fibers....Hii ni aina mbili ya Functional Mucles Fibers
View attachment 3017522

3) Strong Man
Huyu sio common sana kibongobongo pia ni watu wanaolenga michezo zaidi ya kubeba vitu vizito Duniani. Strong man ni wana miili mikubwa kwa kuzaliwa gym wanaongeza mazoezi ya kunyanyua vyuma tu.

Strong man anafanya zaidi mazoezi ya kunyakua uzito mkubwa zaidi tofauti na Bodybuilder ambapo yeye hubeba uzito mdogo na kufanya round nyingi kwa kurudia (Reps).

Kunyanyua uzito mdogo kwa kurudia sana inajenga misuli mikubwa zaidi na yenye kuonekana huku mafuta yakichomwa ila kubeba uzito mkubwa kwa kurudia mara chache inajenga nguvu ya misuli zaidi bila misuli kujijenga viuri kimuonekano....FUCTIONA MUSCLES ACTION.

Strong man ni wanakuwa na nguvu zaidi kuliko Bodybuilder kwasababu wana misuli mikubwa iliyojificha ndani ya layer ya mafuta, ambapo kuwa na mafuta mengi mwilini kunafanya mafuta hayo kutumika kuzalisha energy nyingi kwenye misuli kuzidi Bodybuilder ambao wana misuli zaidi na hawana mafuta ya kutosha as a source of energy to their muscles.
View attachment 3017519
Seen.
 
Mimi nipo hapo kwenye cross-fitter napenda kuwa fit lakini sipendi kuwa na misuli mikubwa kama hao body builder, miaka yote mazoezi yangu yalikua ni kucheza mpira wa miguu yaani hii inajumuisha mazoezi yote uwanjani kuanzia kukimbia mdogo mdogo, kunyosha viungo n.k kwa sasa ratiba zinanibana nakosa muda wa kwenda uwanjani kila jioni ila bado nimeweza ku-maintain mwili kwa kuzingatia misosi ninayokula najiepusha sana na vyakula vyenye sukaki au mafuta mengi.Mkuu ni mazoezi gani mbadala naweza kufanya? Lengo ni kuwa na mwili wa wastani uliofit mfano wacheza mpira au wale wacheza karate wakina don yen,ton jaa n.k
Wewe goal yako ni kuwa Fit, Fitness haihusishi kujenga muscles strength and power ila ni Combination yakujenga 1/muscles
2/Speed
3/Agility
4/Endurance (stamina)
5/Punzi

Mazoezi unayofanya ni sahihi ila uongeze tu Combination za Cardio na HIIT Exercises.

Cardio ni nzuri kujenga yote pale juu ila HIIT nzuri zaidi kujenga Speed na Punzi ina assist Fast-Twitch Musles na kujenga Explosive muscles power kama mpiga Ball itasadia kkukunjua mguu kupiga shut lenge nguvu.
 
Mimi nipo hapo kwenye cross-fitter napenda kuwa fit lakini sipendi kuwa na misuli mikubwa kama hao body builder, miaka yote mazoezi yangu yalikua ni kucheza mpira wa miguu yaani hii inajumuisha mazoezi yote uwanjani kuanzia kukimbia mdogo mdogo, kunyosha viungo n.k kwa sasa ratiba zinanibana nakosa muda wa kwenda uwanjani kila jioni ila bado nimeweza ku-maintain mwili kwa kuzingatia misosi ninayokula najiepusha sana na vyakula vyenye sukaki au mafuta mengi.Mkuu ni mazoezi gani mbadala naweza kufanya? Lengo ni kuwa na mwili wa wastani uliofit mfano wacheza mpira au wale wacheza karate wakina don yen,ton jaa n.k
Nenda you tube mtafute mkorea mmoja anaitwa Jordan Yeoh anavideo nyingi za mazoezi kwa levels tofauti fanya nae huhitaji muda mwingi kufanya mazoezi mie huwa napiga 1hr max kila siku asubuhi kabla sijaenda kudandia mwendokasi..
 
Niko in between body builder na hao wa cross maana nina tengeneza chest, mkono kama body builder lakini nakata tumbo na squat kama zote.
 
Hey There
"No Pain No Gain" kama wanavyosema wana mazoezi kuongeza motisha.

Watu wengi wamekuwa hawana uwelewa kuhusu mazoezi ya gym na aina ya wafanya mazoezi hao, wengi kibongobongo tunaita baunsa, mbavu, kidari ila hawa watu wako aina tofauti kutegemeana na goal ya mtu lakini Core ni kujenga body strength.

Kuna aina tatu za wafanya wanyanyua chuma (wana mazoezi ya gym).

1)Bodybuilder
Huyu mwanamazoezi ya kunyayua vyuma (resistance workots) kwa lengo la kujenga misuli mikubwa, kujenga nguvu ya mwili (strength) na muonekano wa misuli (Muscles definition).

Kimuonekano utamjua kwa kuwa na mwili wenye misuli mikubwa inayoonekana vizuri kutokana na kuwa na kihasi kidogo cha mafuta mwili (Body fat), low body fat inamfanya mishipa ya damu pia kuonekana vizuri zaidi.

Bodybuilder anakuwa na nguvu ya mwili kuliko mtu wa kawaida (Raw Power), huyu ni mtu hatari linapokuja suala la kukunjana hamna tofauti na kukamatwa na chatu
View attachment 3017527

2) Cross-Fitter
Huyu ni mwana mazoezi anayefanya mazoezi mchanganyo yenye combination tatu kujenga muscles strength (Resistance/Weights), Kujenga speed ya mwili, punzi na stamina (Cardio).

Huyu hanyayua chuma kidogo sana na apandi uzito anabaki kwenye uzito mmoja mdogo (Light weight) ili kujenga misuli yenye nguvu lakini sio mikubwa sana lengo aside mzito. Tofauti na Bodybuilder yeye huanza na uzito mdogo na hupanda juu siku baada ya siku na kila akipanda na misuli inazidi kukua.

Pia, anafanya mazoezi ya Cardio hili kujenga speed ya mwili, kuwa flexible na stamina.

Cross-Fitter ni mtu anakuwa na nguvu, anauwezo wa kufanya kitendo cha speed na kunyulika kwa haraka, huyu ni mtu hatari.

Wanamichezo tofauti wa football, Boxing, Running nk ni Cross-Fitter, Cristian Ronaldo, Mwakinyo nk nk Cross-Fitter

Kufanya mazozi slow ina train misuli slow (Slow twitch muscles fibers) hii ndio maana Bodybuilder wanakuwa slow ila Cross-fitter anachanganya mazoezi ya slow na fast ambayo yana enhance Fast twitch muscles fibers....Hii ni aina mbili ya Functional Mucles Fibers
View attachment 3017522

3) Strong Man
Huyu sio common sana kibongobongo pia ni watu wanaolenga michezo zaidi ya kubeba vitu vizito Duniani. Strong man ni wana miili mikubwa kwa kuzaliwa gym wanaongeza mazoezi ya kunyanyua vyuma tu.

Strong man anafanya zaidi mazoezi ya kunyakua uzito mkubwa zaidi tofauti na Bodybuilder ambapo yeye hubeba uzito mdogo na kufanya round nyingi kwa kurudia (Reps).

Kunyanyua uzito mdogo kwa kurudia sana inajenga misuli mikubwa zaidi na yenye kuonekana huku mafuta yakichomwa ila kubeba uzito mkubwa kwa kurudia mara chache inajenga nguvu ya misuli zaidi bila misuli kujijenga viuri kimuonekano....FUCTIONA MUSCLES ACTION.

Strong man ni wanakuwa na nguvu zaidi kuliko Bodybuilder kwasababu wana misuli mikubwa iliyojificha ndani ya layer ya mafuta, ambapo kuwa na mafuta mengi mwilini kunafanya mafuta hayo kutumika kuzalisha energy nyingi kwenye misuli kuzidi Bodybuilder ambao wana misuli zaidi na hawana mafuta ya kutosha as a source of energy to their muscles.
View attachment 3017519
Umenikumbusha unafanya mazoezi mwili unakuwa kama Ng"enge yaani kifua kikubwa tumatoko tudogoo
 
Umenikumbusha unafanya mazoezi mwili unakuwa kama Ng"enge yaani kifua kikubwa tumatoko tudogoo
Mwili (Body anatomy) kuna misuli mingi juu kuliko chini na misuli ya juu mingi ya kutanuka kama kifua na wings, shoulder.

Makalio sio misuli ya kutanuka na hayna set za mazoezi kabisa so mtu ata away vipi katikati lazima awe mwembamba na matako madogo
 
Back
Top Bottom