GYPSUM

KIPANYA

Member
Joined
Jan 3, 2011
Posts
61
Reaction score
2
Jamani nina sehemu ya kuchimba minerals za gypsum sasa nahitaji kujua soko lake ntalipata wapi na huwa wananunua kwa tani au? Naombeni ufahamu kwa hayo, maana nina eneo kuubwa sana lina hizo product
 
Jamani nina sehemu ya kuchimba minerals za gypsum sasa nahitaji kujua soko lake ntalipata wapi na huwa wananunua kwa tani au? Naombeni ufahamu kwa hayo, maana nina eneo kuubwa sana lina hizo product
Gypsum yako inatoka mkoa gani? Unazaliza kiasi gani? Kwa sasa wachimba gypsum wameungana wanauza kwenye makampuni yanayo zalisha cement. Nitafute kwa no 0766111212 kwa maongezi zaidi.
 
Gypsum yako inatoka mkoa gani? Unazaliza kiasi gani? Kwa sasa wachimba gypsum wameungana wanauza kwenye makampuni yanayo zalisha cement. Nitafute kwa no 0766111212 kwa maongezi zaidi.
Mkuu mimi nina vitalu vitatu vya kuchimba gypsum ninaviuza,vina jumla ya hectare 23.81,
Viko kilwa,purity yake ni 92%
Kama unamteja nitafute kwa 0783724242
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…