H.BABA afanya interview bora ya kufungulia mwaka aweka wazi fitna na roho mbaya ya bwana yule

Haha watu mnamaneno ya Hat trick..
 
Huyu aliyesema kaibiwa my numbe one na Mondi,sasa hivi sijui anafanya nini?,kaanza kwa Kiba sasa hivi yupo Kwa Kondeboy,kesho sijui atakuwa kwa nani.
 
H baba abana anatapatapa sana ndo maana ndoa yake imevurugika

Roho mbaya ipo kwa wote sema domo kazidi
 
Kibongobongo ukimgusa domo tu,hilo povu utakalomwagiwa utajuta kwa nini ulimsema vibaya domo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…