Ovyo!!!!!!!Ambao hawajapata mkopo wajilipie. Wafanye harambee. Harambee isiishie kwenye harusi tu. Shule za sekondari hawana bodi ya mikopo, na wanalipa zaidi ya milioni mbili. Lakini hatujawahi kusikika malalamiko. Wazazi wanalipa. Acheni kudeka. Lipeni. Serikali ielekeze nguvu zake kwenye miundo mbinu na huduma nyingine za kijamii.
Ovyo!!!!!!!
Ambao hawajapata mkopo wajilipie. Wafanye harambee. Harambee isiishie kwenye harusi tu. Shule za sekondari hawana bodi ya mikopo, na wanalipa zaidi ya milioni mbili. Lakini hatujawahi kusikika malalamiko. Wazazi wanalipa. Acheni kudeka. Lipeni. Serikali ielekeze nguvu zake kwenye miundo mbinu na huduma nyingine za kijamii.