heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Naandika hii thread ikiwa ni,
saa kumi usiku ambapo ifikapo sa 1 asubuhi
baadhi ya team ya WCB-WASAFI,tutaenda nchini kenya...
ni CEO mwenyewe,Diamond,mlinzi wake binafsi
Dj,Dancers wote na,
mimi mwenyewe..
na jumamosi tutakuwa kwenye show Zanzibar..
Ahsanteni
NB:Kazi ni nyingi,niko bize eer day
ndiyo maana siingii ingii
hovyo humu.
na nikukumbushe tu kuwa,habari Negative
kumhusu Diamondutakayoisoma humu
na mimi nisizungumze kitu
faham kuwa ni zile story za udaku
watu wanazozisoma kwenye viblog
na kukimbilia kuleta humu pasipo kuchuja or kutafiti ..
nasema hivyo coz naona vistory vingi tu
vya kizushi
ambavyo havina kichwa wala miguu
NA NINASHANGAA WATU HUTUNGIA WAPI..
na nashangaa jinsi watu walivyo wavivu hata kutafiti
wanakubari tu kila kitu..
Ahsanteni,SUBUHI NJEMA
.
saa kumi usiku ambapo ifikapo sa 1 asubuhi
baadhi ya team ya WCB-WASAFI,tutaenda nchini kenya...
ni CEO mwenyewe,Diamond,mlinzi wake binafsi
Dj,Dancers wote na,
mimi mwenyewe..
na jumamosi tutakuwa kwenye show Zanzibar..
Ahsanteni
NB:Kazi ni nyingi,niko bize eer day
ndiyo maana siingii ingii
hovyo humu.
na nikukumbushe tu kuwa,habari Negative
kumhusu Diamondutakayoisoma humu
na mimi nisizungumze kitu
faham kuwa ni zile story za udaku
watu wanazozisoma kwenye viblog
na kukimbilia kuleta humu pasipo kuchuja or kutafiti ..
nasema hivyo coz naona vistory vingi tu
vya kizushi
ambavyo havina kichwa wala miguu
NA NINASHANGAA WATU HUTUNGIA WAPI..
na nashangaa jinsi watu walivyo wavivu hata kutafiti
wanakubari tu kila kitu..
Ahsanteni,SUBUHI NJEMA
.