heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Habari zenu wakuuni kwa mda mlefu sasa nimekua kimya sionekani kabisa humu,japo kuna wanaodai sijui nimetemwa and all tht,main reason ni ubize ,kazi zinakuwa nyingi coz diamond anakuwa kila siku so majukumu nayo yanaongezeka.
wanaonifollow insta wanaelewa nachomaanisha,kuwa sijatemwa kazi yangu ipo pale pale japo majukumu ndiyo yameongezeka napiga kazi kama kawaida, na pia niweke wazi kua kwa kipindi nilichokuwa kimya hakuna post yoyote
niliyowahi iweka kwa kutumia ID tofauti, hao ni watu wanaopost kwa matakwa yao binafsi na sehemu pekee zinapopatikana taarifa rasmi za diamond ni kwenye page yake ya instagram, page yake ya facebook na official instagram page ya WASAFI @WCB_WASAFI pamoja na yangu Kifesi.
Ni hayo tu na ahsanteni.
wanaonifollow insta wanaelewa nachomaanisha,kuwa sijatemwa kazi yangu ipo pale pale japo majukumu ndiyo yameongezeka napiga kazi kama kawaida, na pia niweke wazi kua kwa kipindi nilichokuwa kimya hakuna post yoyote
niliyowahi iweka kwa kutumia ID tofauti, hao ni watu wanaopost kwa matakwa yao binafsi na sehemu pekee zinapopatikana taarifa rasmi za diamond ni kwenye page yake ya instagram, page yake ya facebook na official instagram page ya WASAFI @WCB_WASAFI pamoja na yangu Kifesi.
Ni hayo tu na ahsanteni.