H.O.D. nimerudi

Hahahaa mods wa jukwaa hili wanachekesha sana...wameedit title wameweka 'Hodi' wakati mtoa mada wala hakumaanisha hivyo
 
Mbona leo umebadilisha jukwaa?tumezoea kukuona celebrities forum...imekuwaje?
Hata hivyo jamaa una sura ngumu wewe hatari...hiyo picha yako ya kwanza imenitisha....

Ushawahi kuona uso wa fisi ulivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…