H_art the band wamkubali Dogo Aslay

H_art the band wamkubali Dogo Aslay

Amigoh

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2016
Posts
2,045
Reaction score
2,975
Kiukweli tusiseme uongo hakuna asiye jua kazi nzuri ya huyu kijana wetu hapa Bongo.. Dogo Aslay pamoja na kuwa na kipaji cha sauti.. Yani sauti natural haimbii puani anautunzi flani hivi mzuri sana uandishi wake umeweza kuwaburudisha wengi ikiwemo ndugu zetu wakenya.

Binafsi naona [HASHTAG]#ITAPENDEZA[/HASHTAG] ZAIDI

Screenshot_20171126-180823.png
 
Yani Dogo kanifanya niamini kwamba kipaji kikikuzwa tokea udogoni lazima utoboe... Wenyewe wanasemaga kuimba in kama baiskeli ukisha juwa ndo umejua yani....

Dogo atafika mbali mradi2 asishawishike kutumia madawa
 
Nawaza tu dogo apate director mkali na management ya hela..zen afanye remix wimbo natamba na mtu kama davido...basi dogo atakuwa amemaliza kazi..huu wimbo bado hajautendea haki..unadai
 
Mara ya kwanza nilimsikia Channel ten akiwa na Fella, aliimba akapela tu nikampitishaaa, na ukitaka umpende zaidi jamaa aimbe bila chombo chochote kupigwa
 
Watu kama the H_art band wafanya Mziki ambao ni so professional wasingeweza kumnadi hivihivi... Nao kichwani wamewaza wakaona pale ambapo dogo anaweza fika
 
Back
Top Bottom